Corruption in Tanzania: Killing knife of the national development

Date

2003-01-22

Authors

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

Uiversity of Dar es Salaam

Abstract

Magazeti mbalimbali yaliadika juu ya mjadala aliouzua Dk. Kitine juu ya kushamiri kwa rushwa katika serikali na chama tawala. Mjadala huo ulizuka baada ya Jaji Joseph Warioba kutoa ripoti kuhusu rushwa kutofanyiwa kazi ipasavyo. Naye profesa Lipumba alisema katika mihadhara iliyofanyika nchini Swedeni, tathmini ya sera za maendeleo Tanzania, repoti ya rushwa ya jaji Warioba ilichambuliwa na kubaini kua ripoti hiyo iliwafatilia wala rushwa wadogo (Dagaa) na kuwaacha wala rushwa wakubwa (Papa).

Description

Available in print form, East Africana Collection, Dr. Wilbert Chagula Library, Newspaper Collection.

Keywords

Dk. Kitine, Joseph Warioba, Profesa Lipumba, Rushwa

Citation

Corruption in Tanzania: Killing knife of the national development (2003, January 22). University of Dar es Salaam.

Collections