Corruption in Tanzania: Killing knife of the national development

Loading...
Thumbnail Image
Date
2003-01-22
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Uiversity of Dar es Salaam
Abstract
Magazeti mbalimbali yaliadika juu ya mjadala aliouzua Dk. Kitine juu ya kushamiri kwa rushwa katika serikali na chama tawala. Mjadala huo ulizuka baada ya Jaji Joseph Warioba kutoa ripoti kuhusu rushwa kutofanyiwa kazi ipasavyo. Naye profesa Lipumba alisema katika mihadhara iliyofanyika nchini Swedeni, tathmini ya sera za maendeleo Tanzania, repoti ya rushwa ya jaji Warioba ilichambuliwa na kubaini kua ripoti hiyo iliwafatilia wala rushwa wadogo (Dagaa) na kuwaacha wala rushwa wakubwa (Papa).
Description
Available in print form, East Africana Collection, Dr. Wilbert Chagula Library, Newspaper Collection.
Keywords
Dk. Kitine, Joseph Warioba, Profesa Lipumba, Rushwa
Citation
Corruption in Tanzania: Killing knife of the national development (2003, January 22). University of Dar es Salaam.
Collections