Mnyambuliko wa vitenzi katika lugh ya Kijita

Date

2013

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

University of Dar es Salaam

Abstract

Suala la Mnyambuliko na michakato ya kimofofonolojia limewavutia wataalamu wingi. Hata hivyo, hakuna utafiti mujarabu ambao umefanyika katika lugha ya Kijita. Utafiti huu umechunguza minyambuliko ya vitenzi katika lugha ya Kijita na kubainisha vipashiol, michakato na kanuni zinazoukilia ruwaza ya mnyambuliko katika lugha hiyo. Kwa ujumla, Nadharia ya Isimu fafanuzi pamoja na kiunzi Rasmi cha Fonolojia Zalishi ndizo zimeongoza majadala na uchnganuzi wa data hii. Sura ya tano imeshughlikia matokeo, hitimisho, na mapendekezo ya tafiti fuatishi. Matokeo ya utafiti yamebainisha minyambuliko mitano na kwamba, lugh ya Kijita ina vipashio, michakato na kanuni zinazoukilia utokeaji wake. Aidha michakato ya kimofofonolojia imebainishwa na kuelezwa kwa mujibu wa Kiunzi Rasmi cha Fonolojia Zalishi na pale ilipolazimu kanuni zimefafanuliwa na kurasimishwa kwa kuzingatia iktisadi na uwazi wa kanuni.

Description

Available in printed form, East Africana Collection, Dr. Wilbert Chagula Library, Class mark (THS EAF PL8295.4.E.52)

Keywords

Jita language

Citation

Emanuel, F. (2013) Mnyambuliko wa vitenzi katika lugh ya Kijita. Master dissertation, University of Dar es Salaam. Dar es Salaam.