Taarifa ya tume ya Rais ya uchuguzi wa matukio

Loading...
Thumbnail Image
Date
2001-01-26
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
University of Dar es Salaam
Abstract
Tume iliyoundwa chini ya Rais Benjamin Mkapa kufanya uchungunzi kuhusu chanzo, matukio na athari za matukio ya tarehe 26 na 27 January 2001 ilibaini ya kwamba maandamano yalifanyika kabla ya tarehe hizo husika. Katika Uchungunzi uliofanyika ilibainika kwamba sababu na vyanzo vilivyosababisha matukio ya January 26 na 27 ni udhaifu wa tume ya uchaguzi Zanzibar (ZEC), uchaguzi haukuwa wa haki na huru, serikali kutoheshimu maamuzi ya wananchi , vyombo vya dola kujiingiza katika siasa nk. Tume iliafiki kuwa yaliyoelezwa ndio vyanzo halisi vya matukio hayo yaliyoleta athari mbalimbali ikiwemo vifo na uharibifu na upotevu wa mali.
Description
Available in print form, East Africana Collection, Dr. Wilbert Chagula Library, Newspaper Collection.
Keywords
ZEC, Rais Benjamin Mkapa
Citation
Taarifa ya tume ya Rais ya uchuguzi wa matukio (2001, Jauary 26). University of Dar es Salaam.
Collections