Kampeni za uchaguzi mkuu

Loading...
Thumbnail Image
Date
2010-09-19
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
University of Dar es Salaam
Abstract
Kampeni za uchaguzi mkuu mwaka 2010 mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete alihaidi kuinua hadhi ya hospitali saba nchini na kuzifanya za rufani na zile za rufani kupandishwa kuwa hospitali maalumu kutibu magonjwa yaliyoshindikana katika hospitali za rufani, wakati huo huo mgombea mwenza kupitia NCCR mageuzi Bw. Ali Omar alihaidi kupunguza kansa Zanzibar.
Description
Available in print form, East Africana Collection, Dr. Wilbert Chagula Library, Newspaper Collection.
Keywords
CCM, NCCR, Jakaya Kikwete, Zanzibar
Citation
Kampeni za uchaguzi mkuu ( 2010, September 19 ).University of Dar es Salaam.
Collections