Mashairi yangu

Date

1967

Journal Title

Journal ISSN

Volume Title

Publisher

T.P.M book departmant

Abstract

kitabu hiki cha mashairi yangu kina jumla ya mashairi 19 ambayo ni, Jana usiku niliota ndoto, Nilipigwa fumbo najibu kwa fumbo,Mwanangu waenda nchi za mbali, wasia wako baba una mambo si haba, mgeni kumpokea kumbe ni kujitongea, mwizi namchukia sana, Paliondokea mzee hakika, Ndugu watano walizaliwa, fumbo jingine la tatu hili, Aoaye mbali na kwao asipodanganya atadanganyika, Maua, Maskini, Tajiri, Duniani nifanyaje nione raha moyoni? Binadamu hatosheki, Vilima vya shimba, Duniani raha ya mtu katika mambo matatu, Msomaji hodari na Kalamu yangu sasa twaachana

Description

Kopi inapatikana seksheni ya Afrika mashariki, Maktaba ya Dkt. Wilbert Chagula. (EAF PAM PL 8704.Z35M385)

Keywords

mashairi, mashairi yangu

Citation

Zani, Z.M.S (1967) Mashairi yangu, T.P.M book department, Nairobi