Sauti ya Siti : Kazi ya nyumbani ni tija
Loading...
Date
1998
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
TAMWA/CHAWAHATA
Abstract
Hakuna kitu kinachoridhisha zaidi kwa mwanamke wa kitanzania, awe anaishi kijijini au mjini kama kusifiwa kwa kazi yake. Kazi zenyewe ni zile ndogo ndogo ambazo mwanamke huzifanya nyumbani na nje ya nyumba yake ili kuiwezesha familia kuishi maisha mazuri.
Description
available in print
Keywords
Kazi za nyumbani, Kutunza nyumba, Kulea watoto, sheria ya ndoa, Wanawake na teknolojia
Citation
TAMWA/CHAWAHATA, (1998) Sauti ya Siti : kazi ya nyumbani ni tija, University of Dar es Salaam, Dar es Salaam.