Mauaji Wilayani Kilosa

Loading...
Thumbnail Image
Date
2000-10-27
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Uiversity of Dar es Salaam
Abstract
Watu saba walifariki katika mapigano baina ya wafugaji na wakulima wilayani Kilosa mkoani Morogoro. Chanzo cha mapigano hayo kilikuwa ni ugomvi baina ya mfugaji mmoja wa jamii ya kimasai kupigwa risasi kichwani na mkulima aliyefahamika kama Hasssan Kirungi. Kabla ya mauaji wafugaji waliwashambulia wakulima na wanakijiji na baadaye kuchoma moto nyumba mbili za mwenyekiti wa kitongoji cha kikenge.
Description
Available in print form, East Africana Collection, Dr. Wilbert Chagula Library, Newspaper Collection.
Keywords
Kilosa, Wakulima, Wafugaji, Morogoro, Yohana Leptruko, Hassan Kirungi
Citation
Mauaji Wilayani Kilosa (2000, October 27). University of Dar es Salaam.
Collections