Mchakato wa kampeni na matokeo ya uchaguzi mkuu 2005

Loading...
Thumbnail Image
Date
2005-12-19
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Uiversity of Dar es Salaam
Abstract
Magazeti mbalimbali yaliyoandikia mchakato mzima wa uchaguzi na matokeo mwaka 2005. Katika kampeni zake Kikwete alihaidi kupiga vita umasikini . Rais Kikwete alishinda uchaguzi kati ya wagombea 10 kutoka vyama vya siasa ambapo nafasi ya pili ilishikwa na mgombea wa CUF Professa Ibrahim Lipumba alipata kura 1, 317,220 sawa na asilimia 1.61 na mgombea kupitia tiketi ya CHADEMA Freeman Mbowe alishika nafasi ya tatu kwa kupata kura 671.780 sawa na asilimia 5.921, Augustino Mrema wa TLP alishika nafasi ya nne na kupata kura 84.131 bila asilimia hata 1. Vyama vingine ni NCCR Mageuzi (56,438), DP (39,990), NLD (21, 525), PPT-Maendeleo (18.741), Democrasia Makini (17,033) na SAU 16,380).
Description
Available in print form, East Africana Collection, Dr. Wilbert Chagula Library, Newspaper Collection.
Keywords
Uchaguzi, NEC, Tanzania, CCM, CHADEMA, CUF, TLP, NLD, NCCR
Citation
Mchakato wa kampeni na matokeo ya uchaguzi mkuu (2005, December 19) University of Dar es Salaam
Collections