Sauti ya Siti : gazeti la wanawake Tanzania
Loading...
Date
1992
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
TAMWA/CHAWAHATA
Abstract
Siku ya mtoto wa Afrika ni siku maalum iliyoteuliwa na umoja wa nchi huru za Afrika (OAU) kuadhimisha haki ya mtoto wa Afrika. Japo ni siku ya furaha kwa watoto lakini furahi hii si kwa watoto wote wa Afrika kwani watoto wengi wa Afrika bado wanakabiliwa na changamoto nyingi katika kufurahia maisha yao, changamoto hizi ni pamoja na vita, maradhi, njaa nk...
Description
Available in print format at University of Dar es Salaam Archive
Keywords
Haki za watoto, Watoto ni taifa la kesho, Watoto wa mitaani
Citation
TAMWA/CHAWAHATA, (1992) Sauti ya Siti : gazeti la wanawake Tanzania, Gazeti, University of Dar es Salaam, Dar es Salaam.