Jumuiya ya wanawake Tanzania : Taarifa ya U.W.T kwa kipindi cha 1977/1982
Loading...
Date
1982
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
U.W.T
Abstract
Taarifa ya U.W.T kwa miaka mitano (1977/1982) inaonesha kuwa hali ya maendeleo ya vikundi vya wanawake haikuwa nzuri. Hii ilitokana na vita vya nduli Idd Amin, kucheleweshwa kwa uteuzi wa makatibu wa wilaya,mikoa na taifa pamoja na mlipuko wa maradhi ya kipindupindu.
Description
Available in print format
Keywords
Watumishi U.W.T, Wanachama U.W.T, Misaada, Uchumi na mipango, Semina na mafunzo, Madaraka, Ziara za viongozi, Wageni, Matatizo
Citation
U.W.T (1982). Jumuiya ya wanawake Tanzania : Taarifa ya U.W.T kwa kipindi cha 1977/1982