Souti ya Siti

No Thumbnail Available
Date
1988
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
CHAWATA
Abstract
'Sauti ya siti' -limepatikana kutoka kwa jina la mwimbaji, Siti Bint saad ambaye alikuwa miongoni mwa wanawake wa kwanza walijitokeza katika usani nchini. Sisi wanawake wa CHAWAHATA tumeona kuwa tumpe wasifi mwanamke huyo kwasababu kwenye zama za kale , wasanii wanawake walikuwa hawapewi wadhifa waliokuwa wanastahili. Aidha neno siti lina maana Mwanamke, Wanawake lazima wapewe Sauti ya kusema wanayotaka na sauti moja wapo ni hili gazeti.
Description
Availalbe in print form
Keywords
Sauti ya Siti, wanawake wakimasai, gazeti la wanawake
Citation
Collections