Rais Nyerere aweka jiwe la msingi Chuo cha Polisi-Moshi

dc.date.accessioned2026-09-17T17:37:14Z
dc.date.issued1967-01-19
dc.description.abstractRais wa Tanzania, Julius K. Nyerere aweka jiwe la msingi la chuo cha kufundishia askari polisi mjini Moshi. Gharama ya chuo hicho pamoja na nyumba 91 zikiwa ni pamija na nyumba za watumishi na mabweni ya wanafunzi itakuwa shilingi milioni nane(8).Nusu ya fedha hizo ni msaada toka serikari ya Jamuhuri ya watu wa China Ujenzi unatarajiwa kuisha Julai au agosti 1968
dc.identifier.citation(URT,1967) Rais Nyerere aweka jiwe la msingi chuo cha polisi, Information Services division, Ministry of Information and Tourism
dc.identifier.govdoc326
dc.identifier.urihttps://libraryrepository.udsm.ac.tz/handle/123456789/799
dc.publisherInformation Services division, Ministry of Information and Tourism
dc.subjectChuo cha Polisi Moshi
dc.subjectJamuhuri wa watu wa china
dc.subjectMoshi
dc.subject1967
dc.titleRais Nyerere aweka jiwe la msingi Chuo cha Polisi-Moshi
dc.typeArchive

Files

Original bundle

Now showing 1 - 1 of 1
Loading...
Thumbnail Image
Name:
Chuo cha Polisi Moshi.pdf
Size:
563.11 KB
Format:
Adobe Portable Document Format

Collections