Rais Nyerere aweka jiwe la msingi Chuo cha Polisi-Moshi
Date
Authors
Editors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Information Services division, Ministry of Information and Tourism
DOI
Abstract
Rais wa Tanzania, Julius K. Nyerere aweka jiwe la msingi la chuo cha kufundishia askari polisi mjini Moshi. Gharama ya chuo hicho pamoja na nyumba 91 zikiwa ni pamija na nyumba za watumishi na mabweni ya wanafunzi itakuwa shilingi milioni nane(8).Nusu ya fedha hizo ni msaada toka serikari ya Jamuhuri ya watu wa China Ujenzi unatarajiwa kuisha Julai au agosti 1968
Description
Keywords
Citation
(URT,1967) Rais Nyerere aweka jiwe la msingi chuo cha polisi, Information Services division, Ministry of Information and Tourism

