Mgongano kwenye machimbo ya madini na sakata la bomoabomoa Ubungo na Kimara

Loading...
Thumbnail Image
Date
2001-04-30
Authors
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
University of Dar es Salaam
Abstract
Mapigano yaliyotokea katika machimbo ya merereni na kusababisha kifo cha mchimbaji mdogo yalipelekea viongozi wa serikali (CCM) pamoja na wamiliki kuhojiwa na police. Katika tukio lingine la sakata la boaboa Ubungo na Kimara jijini Dar es Salaam lilisababisha taasisi mbalimbali kuwa na azimio la kuifikisha serikali mahakamani kufatia wakazi wa maeneo hayo kukosa makazi na kuwapelekea kuweka kambi nje ya ofisi za Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi (UNHCR) na waliweza kugoma kuondoka eneo hilo mpaka walipwe. fidia.
Description
Available in print form, East Africana Collection, Dr. Wilbert Chagula Library, Newspaper Collection.
Keywords
Mererani, CCM, Ubungo, Kimara, UNHCR
Citation
Mgongano kwenye machimbo ya madini na sakata la boaboa Ubungo na Kimara (2001, April 30). University of Dar es Salaam.
Collections