Repository logo
  • English
  • CatalĂ 
  • ÄŚeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • GĂ idhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • PortuguĂŞs
  • PortuguĂŞs do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • TĂĽrkçe
  • Tiáşżng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • CatalĂ 
  • ÄŚeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • GĂ idhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • PortuguĂŞs
  • PortuguĂŞs do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • TĂĽrkçe
  • Tiáşżng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Wilson, Anna"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • No Thumbnail Available
    Item
    Tofauti za kimsamiati katika lahaja za Kinyaturu
    (University of Dar es Salaam, 2013) Wilson, Anna
    Suala la utofauti wa kimsamiati katika lahaja mbalimbali limewavuta wataalamu wengi. Hata hivyo, hakuna utafiti ambao umefanyika katika lugha ya Kinyaturu. Utafiti huu ulikuwa jaribio la kuchunguza utofauti wa kimsamiati katika lugha hii na kubainisha tofauti hizo za kimsamiati na sababu za kuwepo kwa utofauti huo. Utafiti umefanyika katika vijiji vya Ng’ongoampoku na Mtimko katika Wilaya ya Singida, Tanzania. Mbinu za utafiti zilihusu: usampulishaji, ukusanyaji wa data uwandani, uchanganuzi na uwasilishaji wa data. Data ya utafiti ni ya kutoka uwandani ambapo misamiati mbalimbali ya Kiswahili iliteuliwa ili watafitiwa waingize tafsiri katika lahaja zao husika.Kazi imegawanyika katika sura tano. Sura ya kwanza, imeeleza kiini cha utafiti na utaratibu uliozingatiwa katika kufanikisha utafiti. Sura ya pili, imeshughulikia mapitio ya maandiko kuhusiana na maandiko yanayohusu lahaja mbalimbali zilizowahi kuandikiwa. Sura ya tatu, imehusu mbinu za utafiti ambapo populesheni, sampuli, usampulishaji pamoja na njia mbalimbali za ukusanyaji data zilibainishwa. Sura ya nne, imeshughulikia uchanganuzi na uwasilishaji wa data. Data iliyokusanywa imechanganuliwa kwa njia ya maelezo na majedwali. Nadharia ya Makutano na Mwachano iliongozo mjadala na uchanganuzi wa data hii. Sura ya tano imeshughulikia matokeo, hitimisho, na tafiti fuatishi. Matokeo ya utafiti yamebainisha utofauti wa msamiati unaojitokeza katika lahaja za Kinyaturu na sababu za kuwepo kwa utofauti huo.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy