Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Ngowi, Rick"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Tofauti ya istilahi za Kisayansi kama zinavyotumiwa na TATAKI na BAKITA na athari zake kwa watumiaji wa lugha ya Kiswahili
    (University of Dar es Salaam, 2016) Ngowi, Rick
    Utafiti huu ulikusudia kuchunguza tofauti ya istilahi za kisayansi kati ya BAKITA na TATAKI pamoja na athari zake kwa watumiaji wa lugha ya Kiswahili msisitizo ukiwa katika istilah za Kiswahili katika taaluma za Fizikia, Kemia na Bailojia. Data ya utafiti ilipatikana maktabani na uwandani. Utafiti wa Maktabani ulihusisha mapito mbalimabli kuhusu uundaji wa istilahi. Utafiti wa uwandani ulihusisha mbinu mbalimbali za ukusanyaji wa data kama vile usaili, hojaji na majadiliano katika majopo. Kwa upande wa uchambuzi wa data mbinu ya kiidadi na kimaelezo zilitumika kuchambua data na kuwasilisha matokeo ya utafiti. Utafiti huu uliongozwa na nadharia ya jumla ya IstilahI (NJI) Iliyoasisiwa na Eugene Wuster 1931. Matokeo ya utafiti huu yalionesha kuwa kuna tofauti nyingi katika istilah za kisayansi kati ya BAKITA na TATAKI Kwa baadhiny dhana. Tofauti hizi zilibainishwa wazi kupitia machapisho mwili yaliyotumika kama mifano katika kuchunguza tofauti hizo. Sababu kubwa tuliyoigundua kama chanzo cha tofauti hizi ni kutokuwepo kwa ushirikiano miongoni mwa taasisi hizi wakati wa kuunda istilahi. Athari za tofauti zinazoletwa na tofauti za istilahi zilibainishwa amabzo ni pamoja na kutoueleweka kwa istilahi hizo miongoni mwa watumiaji wake hasa wataalamu wa uwanja uliotungiwa istilahi hizo pamoja na kupotosha matumizi ya lugha. Mapendekezo mbalimbalioya namna ya kukabili tatizo hili yametolewa ambapo ni pamoja na kushirikiana kwa taasisi zinazounda istilahi na kuwa na chombo kimoja kitachosimamia uundaji na usanifioshaji wa istilahi kwa kulindwa na kanuni za kisheria kwa lengo la kusimamia taasisi nyingine zinazounda istilahi. Aidha, katika utafiti huu yametolewa mapendekezo mbalimabli. Miongoni mwa mapendekezo ni kuchunguza vitabu vya sayansi katika shule za msingi ili kuona namna ambavyo waandishi wa vitabu hivi wanavyokabiliana na changamoto ya istilahi hizi.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy