Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Mwaijande, Gwantwa"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • No Thumbnail Available
    Item
    Dhima ya ucheshi katika kuibua visa na maudhui: uchambuzi wa riwaya ya marimba ya majaliwa
    (University of Dar es Salaam, 2012) Mwaijande, Gwantwa
    Ucheshi ni tabia ya kuwa mchangamfu na mwenye furaha kwa watu. Ni mbinu ya kifani inayotumiwa na wasanii katika kutimiza malengo yao ya uandishi. Baadhi ya faida za ucheshi ni kuondoa uchovu, kuburudisha na kusaidia kujenga taswira. Kazi hii imechunguza Dhima ya Ucheshi katika Kuibua Visa na Maudhui: Uchambuzi wa Riwaya ya Marimba ya Majaliwa. Malengo ya jumla ya utafiti huu yalikuwa ni kutafiti na kubainisha ucheshi na kuonesha jinsi ucheshi unavyoibua visa na unavyojenga maudhui katika riwaya ya Marimba ya Majaliwa. Ili kufanikisha utafiti huu, mtafiti ametumia mbinu ya maktabani katika kukusanya na kuwasilisha data kimaelezo. Vifaa vilivyotumika katika ukusanyaji wa data ni shajara, kalamu, kompyuta na kinyonyi. Vile vile marejeleo mbalimbali kutoka katika wavuti yalipitiwa. Nadharia ya Mwitikio wa Msomaji ndiyo iliyotumika katika kufanikisha utafiti huu. Nadharia hii imemsaidia mtafiti kuweza kubaini mawazo mbalimbali ya mwandishi katika riwaya yake ambayo ni aina za ucheshi, visa na maudhui yanayotokana na ucheshi kutoka katika riwaya ya Marimba ya Majaliwa. Kwa ujumla matokeo ya uchanganuzi wa data yaliweza kujibu maswali ya utafiti kwani yalibainisha aina za ucheshi na dhima yake katika jamii. Dhima hizo za ucheshi ni kuburudisha, kuonya, kuelimisha na kuadibisha. Pia matokeo hayo ya utafiti yalibainisha visa vya msako wa marimba, mnyonge kumshinda mwenye nguvu na utundu na ubunifu. Visa vingine ni vya abiria safarini, tamaa ya binadamu na ndoto ya kikojozi. Maudhui yanayotokana na ucheshi kutoka katika riwaya ya Marimba ya Majaliwa yana mchango mkubwa katika fasihi kwa ujumla.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy