Repository logo
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Musa, H"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Muundo na matumizi ya kishazi rejeshi: uchunguzi linganishi kati ya Kiswahili na kindali Hassan Musa Tasnifu ya (Kiswahili) Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Taasisi Ya Taaluma ya Kiswahili, 2019 Lugha ina miundo mbalimbali, miundo mingine ina upekee na umuhimu fulan. Kwa hiyo, miundo hiyo huvuta udadisi haraka. Moja ya miundo hiyo ni vishazi rejeshi ambavyo vina mwigo mpana katika lugha za kibantu kwa vile vishazi hivi ndivyo vyenye kutumika mara nyingi zaidi kukumusha nomino. Vivumishi katika lugha za kibantu ni vichache kwa vile kazi za vivumishi hufanywa na vishazi rejeshi, kwa hiyo, urejeshi ni muundo muhimu katika lugha hizi. Utafiti huu unahusu “Muundo na matumizi ya kishazi rejeshi: uchunguzi linganishi kati ya Kiswahili na Kindali” utafiti huu umeongozwa na nadharia ya Sarufi Geuzi ya Chomsky (1965) utafiti huu ulifanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam katika mkoa wa Dar es salaam na Bundali katika wilaya ya Ileje Mkoani Songwe. Data ya utafiti huu ilikusanywa maktabani na uwandani kwa njia ya hojaji, mahojiano na kusoma na kuchambua matini. Matokeo ya utafiti yanaonesha kwamba vishazi rejeshi katika Kiswahili na kindali vinafanana katika matumizi na kutofautiana katika baadhi ya miundo. Muundo wa kishazi rejeshi unatofautiana katika lugha hizi katika idadi ya miundo na mumbo la kiwakilishi rejeshi. Kiswahili kina miundo mitatu wakati kindali kina muundo mmoja wa kishazi rejeshi kwa kuzingatia kiwakilishi rejeshi kinapachikwa wapi. Hata hivyo, kiwakilishi rejeshi katika kiwahili ni mofimu tegemezi wakati katika Kindali kiwakilishi rejeshi ni mofimu huru. Muundo wa Kishazi rejeshi kutokea baada ya neno kuu kutangulia unafanana katika lugha hizi. Vilevile matumizi ya kishazi rejeshi katika lugha hizo yanafanana katika ukumushi bainifu, ukumushi ziada na uelezi wa namna na mahali. Utafiti huu umeonesha masharti na michakato ambayo kishazi rejeshi hupitia katika uundaji wake. Masharti hayo ni kuwepo kwa vishazi huru viwili vyenye uzito sawa, vishazi hivyo sharti niwe na nomino zenye kurejelea kitu kilekile na sharti la tatu ni kukishusha hadhi kishazi huru kimoja. Sharti la kushusha hadhi kishazi huru kimoja linafungamana na michakato ya udondoshaji, uwakilishi na urejeshi, uchopekaji, utegemezaji, uhamishaji na kubadilishana nafasi. Maeneo mengine yanayopendekezwa kufanyiwa utafiti ni katika aina zingine za vishazi tegemezi.
    (Chuo Kikuu cha Dar es salaam, 2019) Musa, H
    Muundo na matumizi ya kishazi rejeshi: uchunguzi linganishi kati ya Kiswahili na kindali Hassan Musa Tasnifu ya (Kiswahili) Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Taasisi Ya Taaluma ya Kiswahili, 2019 Lugha ina miundo mbalimbali, miundo mingine ina upekee na umuhimu fulan. Kwa hiyo, miundo hiyo huvuta udadisi haraka. Moja ya miundo hiyo ni vishazi rejeshi ambavyo vina mwigo mpana katika lugha za kibantu kwa vile vishazi hivi ndivyo vyenye kutumika mara nyingi zaidi kukumusha nomino. Vivumishi katika lugha za kibantu ni vichache kwa vile kazi za vivumishi hufanywa na vishazi rejeshi, kwa hiyo, urejeshi ni muundo muhimu katika lugha hizi. Utafiti huu unahusu “Muundo na matumizi ya kishazi rejeshi: uchunguzi linganishi kati ya Kiswahili na Kindali” utafiti huu umeongozwa na nadharia ya Sarufi Geuzi ya Chomsky (1965) utafiti huu ulifanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam katika mkoa wa Dar es salaam na Bundali katika wilaya ya Ileje Mkoani Songwe. Data ya utafiti huu ilikusanywa maktabani na uwandani kwa njia ya hojaji, mahojiano na kusoma na kuchambua matini. Matokeo ya utafiti yanaonesha kwamba vishazi rejeshi katika Kiswahili na kindali vinafanana katika matumizi na kutofautiana katika baadhi ya miundo. Muundo wa kishazi rejeshi unatofautiana katika lugha hizi katika idadi ya miundo na mumbo la kiwakilishi rejeshi. Kiswahili kina miundo mitatu wakati kindali kina muundo mmoja wa kishazi rejeshi kwa kuzingatia kiwakilishi rejeshi kinapachikwa wapi. Hata hivyo, kiwakilishi rejeshi katika kiwahili ni mofimu tegemezi wakati katika Kindali kiwakilishi rejeshi ni mofimu huru. Muundo wa Kishazi rejeshi kutokea baada ya neno kuu kutangulia unafanana katika lugha hizi. Vilevile matumizi ya kishazi rejeshi katika lugha hizo yanafanana katika ukumushi bainifu, ukumushi ziada na uelezi wa namna na mahali. Utafiti huu umeonesha masharti na michakato ambayo kishazi rejeshi hupitia katika uundaji wake. Masharti hayo ni kuwepo kwa vishazi huru viwili vyenye uzito sawa, vishazi hivyo sharti niwe na nomino zenye kurejelea kitu kilekile na sharti la tatu ni kukishusha hadhi kishazi huru kimoja. Sharti la kushusha hadhi kishazi huru kimoja linafungamana na michakato ya udondoshaji, uwakilishi na urejeshi, uchopekaji, utegemezaji, uhamishaji na kubadilishana nafasi. Maeneo mengine yanayopendekezwa kufanyiwa utafiti ni katika aina zingine za vishazi tegemezi.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy