Repository logo
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Mtega, Winne"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    uhusiano wa taashira na maisha ya shujaa wa kiutendi: uchunguzi wa utenzi wa rasi ‘lGhuli (1979) na utenzi wa Nyakiiru Kibi (1997)
    (University of Dar es Salaam, 2017) Mtega, Winne
    Utafiti huu kuhusu uhusiano wa taashira na maisha ya shujaa katika Utenzi wa Rasi ‘lGhuli (1979) na Utenzi wa Nyakiiru Kibi (1997) ulikuwa na malengo matatu ambayo ni: kubainisha taashira zinazotumika katika tendi teule; kueleza uhusiano wa taashira hizo na maisha ya mashujaa wa tendi teule; na, kufafanua dhima ya matumizi ya taashira katika ujenzi wa shujaa katika tendi za Kiswahili. Ili kutimiza malengo hayo, data za utafiti zilikusanywa kwa kutumia njia kuu tatu (3) ambazo ni: ukusanyaji matini, udurusu matini na uchambuzi matini. Aidha, ufasili wa data uliongozwa na Nadharia ya Semiotiki na Nadharia ya Mwitiko wa Msomaji. Kuhusu matokeo ya utafiti, imebainika kwamba tendi teule zimetumia idadi tofautitofauti za taashira. Vilevile, imebainika kuwa taashira zinazotumika katika tendi andishi za Kiswahili ni za aina mbalimbali ambazo zinajumuisha: taashira za wanyama, mandhari au mazingira asilia, wahusika au majina, wadudu, ndege, mavazi, vifaa utamaduni) pamoja na taashira za kimatendo au kimatukio. Kuhusu uhusiano baina ya taashira na maisha ya mashujaa, ilibainika kwamba matumizi ya taashira katika tendi yana uhusiano mkubwa na maisha ya mashujaa. Uhusiano huo umebainika kujidhihirisha kupitia sifa za jumla za mashujaa wa utendi; imani za mashujaa wa utendi; mahusiano baina ya mashujaa wa tendi na jamii zao; na, mafanikio, anguko pamoja na hatima ya shujaa. Mwisho, imebainika katika utafiti huu kwamba matumizi ya taashira katika tendi za Kiswahili yana dhima kubwa sana katika ujenzi wa mashujaa. Baadhi ya dhima hizo ni kama vile: kueleza na kufafanua maisha ya shujaa wa kiutendi, kueleza uhalisia wa shujaa husika, maisha yake, tamaduni na jamii inayomjenga shujaa huyo. Kuhusu maeneo yanayohitaji tafiti fuatizi, utafiti huu unapendekeza kufanyika kwa tafiti za kina katika vipengele vingine vya tamathali za semi na dhima zake katika tendi, uhusiano wa taashira na tendi nyingine simulizi pamoja na kuchunguza kuhusu shujaa wa kihistoria yaani, shujaa halisi katika tendi za Kiswahili.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy