Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Mkungilwa, Tiem"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Matumizi ya Kiswahili vijijni na hatima yake kwa lugha ya Kibena, nchini Tanzania
    (University of Dar es Salaam, 2016) Mkungilwa, Tiem
    Utafiti huu umechunguza matumizi ya Kiswahili vijijini na hatima yake kwa lugha ya Kibena, nchini Tanzania. Malengo makuu ya utafiti huu yalikuwa kubainisha makundi ya wazungumzaji wa lugha ya Kibena, kubainisha maneno yanayotumia Kiswahili na maeneo yanayotumia lugha ya Kibena na kujadili matumiza ya Kiswahili vijijini ili kuelezea hatima ya Kibena. Ili kufikia malengo hayo, utafiti huu uliongozwa na nadharia ya uchanganuzi wa kimaeneo iliyoasisiwa na Fishman (1972). Nadharia hii inaeleza mazoea ya wazungumzaji ya kupenda kuchagua kutumia lugha fulani katika eneo fulani na lugha nyingine itumike katika eneo jingine. Mtafiti alitumia mbinu za hojaji na mahojiano wakati wa ukusanyaji data na kufafanuliwa kwa njia ya kimaelezo na kiidadi. Watafitiwa 144 walishiriki katika utafiti huu ambapo usampulishaji nasibu tabakishi ulitumika katika vijiji vya Itipingi, Kichiwa na Itunduma. Utafiti huu umebaini kwamba idadi ya watafitiwa wanaotumia Kiswahili ni kubwa kuliko wanaotumia lugha ya Kibena. Matokeo yanadhihirisha kuwa katika maeneo ya nyumbani , majirani, sokoni, misibani, kanisani, harusini na kazini, Kiswahili kinatumiwa na wazungumzaji wengi kuliko Kibena. Aidha lugha ya Kibena imeonekana kutumiwa zaidi na wazee, wanawake na wasiosoma shule katika maeneo ya nyumbani, majirani, msibani na kazini. Matokeo haya yanaonesha kwamba lugha ya Kibena iko hatarini kutoweka kwa sababu wazungumzaji wa Kibena wanaendelea kupungua. Mwisho, utafiti huu unapendekeza kwamba watafitiwa wengine wanaweza kufanya tafiti nyingine, ili kuchunguza kuweka kwa lugha ya Kibena na athari zake kwa utamaduni wa jamii ya Wabena

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy