Repository logo
  • Log In
    or
    New user? Click here to register.Have you forgotten your password?
Repository logo
  • Communities & Collections
  • All of DSpace
  • Log In
    or
    New user? Click here to register.Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Michuki, David N."

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    ItemOpen Access
    Mawaidha ya Wamuchuthe
    (East African Publishing House, 1969) Michuki, David N.
    Kwa vile lugha ya kiswahili ilivyoenea siku hizi na kutumiwa na Waafrika wasiofundishwa lugha hiyo na mama zao, si ajabu tukiona Waafrika wakiachana na kanuni zilizopo za utungaji wa mashairi na kutunga wanavyotaka wenyewe. Hii ni moja ya dalili ya maendeleo ya kisasa. Bila shaka wale waliozoea kuandika mashairi hawatapendezwa na kanuni mpya. Ubora wa mashairi ya asili ya kiswahili ni katika kuandika walivyoandika washairi waliotangulia, kusiwepo na mabadiliko hata kidogo. Lakini hakuna maendeleo bila mabadiliko.Kitabu hiki kilichofasiriwa na bwana Michuki kinafaa sana kusomwa katika shule nyingi iwezekanavyo kwasbabu ya mtindo wake utawashawishi watoto wetu kujua zaidi juu ya historia na hekima za babu zetu.Sina shaka kusema kuwa watu wazima pia watapendezwa hali kadhalika.

DSpace software copyright © 2002-2026 LYRASIS

  • Cookie settings
  • Send Feedback