Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Malindi, Bakita"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • No Thumbnail Available
    Item
    Athari ya matamshi ya kikwaya katika kiswahili cha mazungumzo
    (University of Dar es Salaam, 2014) Malindi, Bakita
    Utafiti huu unahusu Athari za matamshi ya Kikwaya katika Kiswahili cha mazungumzo, uliofanyika katika mkoa wa Mara manispaa ya Musoma katika kata za Mwisenge, Iringo, Mkendo, Nyakato na Kamnyonge. Utafiti huu ulihusisha jumla ya watafitiwa 40 ambapo wanawake walikuwa 20 na wanaume walikuwa 20, vilevile kila kata ilitoa watafitiwa 8. Utafiti huu ulilenga kwanza kubaini matamshi ya Kikwaya yanayotumika katika Kiswahili cha mazungumzo. Pili, kubainisha makundi ya jamii yanayotumia matamshi ya Kikwaya katika Kiswahili cha mazungumzo kwa kuzingatia jinsi, umri na kiwango cha elimu. Tatu, kueleza sababu za kutumia matamshi ya Kikwaya katika Kiswahili cha mazungumzo.Matokeo ya utafiti huu yamedhihirisha wazi kuwa kuna baadhi ya matamshi ya Kikwaya yanayotumika katika Kiswahili cha mazungumzo. Matamshi hayo ya Kikwaya katika Kiswahili cha mazungumzo hutokana na matumizi ya mara kwa mara ya lugha ya Kikwaya, kutopata elimu na kutumia lugha mbili au zaidi katika eneo moja. Utafiti huu pia umedhihirisha makundi ya jamii ya watafitiwa yanayotumia matamshi ya Kikwaya katika Kiswahili cha mazungumzo. Makundi hayo mtafiti ameyagawa katika sehemu mbili, yaani kuna makundi ya watafitiwa wanaotumia matamshi ya Kikwaya katika Kiswahili cha mazungumzo kwa wingi, na kuna makundi ya watafitiwa wasiotumia sana matamshi ya Kikwaya. Makundi yanayotumia sana matamshi ya Kikwaya ni wazee (72%), wakulima (74%), wasiosoma (72%), wanawake (70%) na wafanyabiashara (60%). Hali kadhalika makundi ya watafitiwa yasiyotumia sana matamshi ya Kikwaya ni vijana (39%),waliosoma shule (48%), wanaume (52%) na wafanyakazi (45%).

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy