Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Lindi, Lucia Mwakibete"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • No Thumbnail Available
    Item
    Ufasihi simulizi katika riwaya ya kisasa ya Kiswahili: mifano kutoka Nagona (1990) na Mzingile (1991)
    (University of Dar es Salaam, 2012) Lindi, Lucia Mwakibete
    Lengo kuu la utafiti huu lilikuwa ni kubainisha namna ufasihi simulizi unavyojitokeza katika riwaya teule za Kezilahabi Nagona (1990) na Mzingile (1991). Lengo hili limeweza kufanikiwa kutokana na kukamilika kwa malengo mahususi yaliyohusu kubainisha utokezaji wa ufasihi simulizi katika riwaya teule, na kueleza dhamira mbalimbali zilizotuwezesha kupata na kuchopoa ufasihi simulizi katika riwaya teule. Kazi hii na malengo kusudiwa katika muktadha wa kumtathimini Kezilahabi kifani na kimaudhui kupitia riwaya teule kulikuwa kugumu, ila kumekamilika kitaaluma. Maandiko na machapisho mbalimbali yanayohusiana na mada ya utafiti ambayo yamepitiwa kwa kina kwa kuongozwa na nadharia ya Simiotiki, yameshadidia kukomaa kwa kazi husika. kwa upande wa uchambuaji, uchakataji na usanifishaji wa data, utafiti umetumia mbinu ya uchambuzi wa kimaudhui. Hiki ndicho kinachotumakinisha kwenye uchambuzi wa data kuwa, umefanywa kwa kuongozwa na mbinu ya uchambuzi wa kimaelezo ya kifasihi sambamba na mkabala wa kidhamira. Matokeo ya utafiti yanaonyesha kuwa Kezilahabi anatumia sana vipengele vingi vya kifasihi simulizi katika riwaya zake hususani teule tulizozichambua. Baadhi ya vipengele hivyo ni wahusika wa kifasihi simulizi, mandhari, utamaduni mila na desturi, nafasi ya mwanamke katika jamii, mwanamke na suala la haki, matumizi ya taswira na ishara, matumizi ya mafumbo, tanakali sauti, mwingiliano wa tanzu, ucheshi na dhana ya ukimya. Baada ya kutathmini juu ya mwandishi Kezilahabi kifani na kimaudhui, tumebaini kwamba ametoa mchango mkubwa katika maendeleo ya riwaya ya Kiswahili. Ukweli huu ulianza kwa kuihakiki vilivyo hoja ya Mbatiah (1998) na kuonesha kwamba, kazi za Nagona (1990) na Mzingile (1991) ni riwaya muhimu katika maendeleo ya riwaya ya Kiswahili na zimeleta mabadiliko makubwa katika muundo, mtindo, wahusika, matumizi ya lugha, mandhari ya kidhanaishi na mabadiliko katika uelezaji wa maudhui.Mwisho, tumetoa hitimisho kuu la utafiti ambalo kwalo tumeainisha maeneo mbalimbali ya kiutafiti yanayoweza kuibuliwa katika riwaya teule na riwaya ya kisasa ya Kiswahili kwa ujumla.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy