Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Kiango, Saifu David"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Tamthilia ya kiswahili na mabadiliko ya dhamira
    (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, 1979) Kiango, Saifu David
    Thanifu hii itojadili mabadiliko ya dhamira katika tamthilia za Kiswahili kati ya 1957 na 1975 kwa kutumia mtindo wa uchambuzi wa nadharia ya kihadhira. Mazigowanya dhamira za tamthiria hizo katika mafungu mawili. La kwanza ni zile tamthilia zilizoandikwa katika kipindi cha kabla ya uhuru (1957 hadi 1961) na la pili ni lile la tamthilia zilizoandikwa katika kipindi cha uhuru na baada ya uhuru. Tasnifu hii itajadili kuwa dhamira za tamthilia za kipindi cha kabla ya uhuru hazikushughulikia migogoro halisi ya jamii ya wakati ule, ana kwamba baadhi ya tamthilia za kipindi hicho zilijaribu kuonyesha mabadiliko ya uchumi kutoka ule wa asili hadi wa ukoloni, lakini tamthilia hizi hazionyeshi wazi wazi athari za ubepari. Aidha itajadili kwamba dhamira za tamthilia za kipindi cha uhuru na baada ya uhuru zilijadili matatizo mhimu ya baada ya uhuru na kuwa zinaonyesha wazi wazi mfumo na uchumi wa ujamaa. Sura ya kwanza itajadili mijadala ya tasinifu na stindo wa uchambuzi wa nadharia ya kidhamira ambao ndio utakaotumiwa katika tasnifu hii. Sura ya pili itahusu uhakiki uliokwisha fanywa na wahakiki wengine kuhusiana na tanmthilia zitakazochambuliwa katika tasnifu hii. Itaonyesha kuwa wengi wa wahakiki tahakiki zao zimekuwa za tamthilia moja moja na za jumla; hazikuwa na lengo la kujadili dhamira peke yake. Aidha itaonyesha kuwa hatak wahakiki waliojadili Zaidi ya tamthiia moja uchambuzi wao haukuhusu kipengele cha dhamira peke yake, na kwamba uchambuzi wao waliofanya kuhusu dhamira haukuonyesha mabadiliko ya dhamira katika nyakati mbali mbali. Sura ya tatu itajadili dhamira za tamthilia za kipindi cha kabla ya uhuru. Itajadili kuwa dhamira za kipindi hiki hazikuhusisha matatizo mhimu na makubwa ya wakati huo; na kwamba zile zilizojaribu kuonyesha athari za ukoloni mkonge na mfumo wa kibepari majaribio haya hayakufanikiwa kwa sababu ya kutumia mtindo wa vichekesho, madhuminui ya tamthilia za maandishi katika kuandika tamthilia hizo. Sura ya nne itachambua tamthilia za kipindi cha uhuru na baada ya uhuru, itajadili ya kwamba tamthilia za wakati huo zilihusisha matatizo halisi ya jami ya wakati huo. Itahusu dhamira za utamaduni na ukombozi. Itaonyesha kwamba tamthilia zenye dhamira ya utamaduni zitaonyesha athari ya ukombozi na kumulika madhara ya mfumo wa kibepari. Kuhusu dhamira ya ukombozi surah ii itaonyesha umuhimu uliowekwa katika itikadi, moja, silaha na mbinu za kivita. Sura ya tano itajadili dhamira ya ujenzi wa jamii mpya. Itaonyesha kwamba kimsingi mgogoro uliopo ni ule wa misingi ya ubepari dhidi ya ujamaa na kuonyesha jitihada inayofanywa na waandishi wa tamthilia katika ujenzi wa jamii mpya na matatizo yanayotokana na jitihada zao. Sura ya sita itakuwa ni hitimisho la tasnifu. Itatoa muhutaasari wa yote yaliyojadiliwa na kuonyesha mwelekeo ambao tamthilia za Kiswahili zimeelekea katika jamii.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy