Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Kategela, Rose"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • No Thumbnail Available
    Item
    Matumizi ya majina ya asili ya familia na utambulisho wa jamii ya Wanyakyusa
    (University of Dar es Salaam, 2013) Kategela, Rose
    Utafiti huu umechunguza Matumizi ya Majina ya Asili ya Familia na Utambulisho wa Jamii ya Wanyakyusa. Utafiti ulilenga kuainisha majina ya asili ya familia ya Wanyakyusa kwa kuzingatia asili ya majina hayo; kueleza vigezo vinavyotumiwa kutoa majina ya asili ya familia kwa jamii ya Wanyakyusa, na kuchambua maumbo ya majina ya asili ya familia yanayotambulisha jamii ya Wanyakyusa. Utafiti huu uliongozwa na nadharia ya utambulisho wa kijamii ya Tajfel (1982). Data za utafiti huu zilikusanywa kutoka vijiji vya Ilolo na Segela vilivyoko katika kata za Kiwira na Bujela katika wilaya ya Rungwe, mkoa wa Mbeya. Utafiti ulihusisha sampuli ya watafitiwa 40 ambapo usampulishaji nasibu tabakishi ulitumika kwa kutumia kigezo cha umri. Data za utafiti zilikusanywa kwa kutumia mbinu za hojaji, mahojiano na hifadhi ya maandishi na kisha kufafanuliwa kwa kutumia mkabala wa kimaelezo. Matokeo ya utafiti huu yanadhihirisha kuwa majina yaliyotumika katika utafiti huu, yameainishwa katika aina tatu: majina yanayotolewa wakati wa kuzaliwa mtoto, majina yanayotolewa wakati wa ubatizo na majina ya utani. Utafiti umebaini kuwa kuna vigezo vinane vinavyozingatiwa wakati wa kutoa majina. Vigezo hivyo ni namna mtoto alivyozaliwa, mahali mtoto alipozaliwa, muda na kipindi ambacho mtoto alizaliwa, hali ya ujauzito na matatizo ya uzazi uliotangulia, mfuatano wa watoto, hali ya kiuchumi ya familia, kurithi jina la mtu mwingine na kuzingatia aina ya jinsi. Vilevile, utafiti umedhihirisha maumbo yanayotambulisha jamii ya Wanyakyusa kuwa ni maumbo ya majina ya asili ya lugha ya Kinyakyusa yatokanayo na uambatizi, unyambuzi wa vitenzi, uambatani/muambatano, maumbo ya vitenzi mashina na maumbo ya nomino huru.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy