Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Kajosi, Sofia"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • No Thumbnail Available
    Item
    Suala la uzazi katika ontolojia ya Kibantu na jinsi lilivyojitokeza katika riwaya za kiswahili
    (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, 2012) Kajosi, Sofia
    Utafiti huu ulilenga kuchambua suala la uzazi katika ontolojia ya Kibantu kama lilivyosawiriwa kwenye riwaya za Kiswahili. Utafiti ulijikita katika hoja ya kwamba suala la uzazi ni miongoni mwa maudhui nyeti ya ustaarabu wa Kibantu uliosawiriwa kwenye riwaya za Kiswahili ingawa wahakiki hawajalipa nafasi yake stahiki katika kazi zao, ama kwa kulifumbia macho kabisa au kwa kulipa nafasi ndogo sana kinyume na unyeti wake. Hivyo, kazi hii imevibainisha na kuvijadili vipengele mbalimbali vya utamaduni wa Kibantu juu ya dhana ya uzazi. Data zilizotumika katika kazi hii zimekusanywa kupitia vitabu vilivyoteuliwa na vya ziada katika riwaya za Kiswahili. Uchambuzi wa data umeongozwa na Kiunzi cha nadharia ya Ontolojia ya Kibantu na kutumia mkabala wa kidhamira. Matokeo ya utafiti huu yameonesha kuwa suala la uzazi katika ontolojia ya Kibantu lina mitazamo mikuu mitatu. Mtazamo wa kwanza, unaonyesha kuwa uzazi ni baraka na ugumba ni laana. Mtazamo wa pili ni imani kuwa uzazi ndio mhimili au nguzo ya ndoa. Na mtazamo wa tatu ni imani kuwa uzazi ndio nguzo ya ujenzi wa ukoo. Utafiti huu unaonyesha kuwa imani ya Wabantu kuhusu uzazi imejikita katika mitazamo hiyo mitatu. Hata hivyo, mtazamo mama ulioonekana kujitokeza kwa kiasi kikubwa katika riwaya takribani zote ni ule wa kuwa uzazi ni baraka na ugumba ni laana. Zaidi ya utafiti huu, hitajio bado lipo kwa tafiti nyingine kufanywa katika eneo hili kwa kuchunguza mambo kadha wa kadha katika upande huu wa ontolojia ya Kibantu. Kwa mfano, dhana ya familia pana, dhana ya ujaala, dhana ya wakati, na hadhi ya mwanamke na mwanamume katika ontolojia ya Kibantu.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy