Repository logo
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Joster, Festo"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Matatizo ya kiuhariri katika vitabu vya kiada vya Kiswahili nchini Tanzania
    (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, 2015) Joster, Festo
    Utafiti huu unahusu matatizo ya kiuhariri katika vitabu vya kiada vya Kiswahili nchini Tanzania. Katika utafiti huu tulijikita katika malengo mahususi matatu: Lengo la kwanza lilikuwa ni kubainisha makosa ya kiuhariri katika vitabu vya kiada vya shule za msingi. Pili, kueleza sababu za kuwapo kwa makosa hayo. Tatu, kupcndekeza mbinu za utatuzi wa makosa hayo. Kufanyika kwa utafiti huu kulichochewa na kuwapo kwa malalamiko mengi ya kiufundi katika tasnia ya uchapishaji, kwani baadhi ya tafiti zimeeleza kwa ufupi sana kero zinazojitokeza katika vitabu (Thonya 1993 na Nkata 1993). Utafiti huu ulikusanya data kwa kutumia mbinu mbili. Kwanza, tulianza na mbinu ya maktabani, ambapo tuliweza kusoma, kutathmini na kuhakiki vitabu vinne vya kiada vya Kiswahili vya shule za msingi. Baadaye ulifanyika utafiti wa uwandani, ambapo watafitiwa walijaza hojaji na wengine tulihojiana nao. Vifaa vya utafiti vilivyotumika ni shajara, kalamu, karatasi, daftari, simu ya mkononi, hojaji, dodoso, kompyuta na vifaa vyake. Eneo la utafiti lilikuwa ni mkoa wa Dar es Salaam. Kuteuliwa kwa eneo hili kulitokana na kuwapo kwa makampuni mengi ya uchapishaji, asasi na vyombo vya kielimu katika jiji hilo. Nadharia ya “mawazo ni ya mwandishi, kitabu ni cha mhariri” ilitumika hadi kufanikisha utafiti huu. Uchambuzi wa data ulifanyika kwa kutumia mkabala wa kitaamuli ambapo data zilichambuliwa na kuwasilishwa kwa njia ya maelezo, majedwali na vielelezo. Baada ya hatua zote kukamilika, tuligundua kuwapo kwa makosa mengi ya kiuhariri katika vitabu vya kiada vya Kiswahili nchini Tanzania. Kwa mfano, makosa ya matumizi ya herufi kubwa, vifupisho na finyazo, upangiliaji wa vichwa vya habari na makosa ya istilahi. Makosa hayo yanaonekana kusababishwa na mambo ya kiufundi na ya kiutawala. Mwisho tumependekeza mbinu za utatuzi wa makosa hayo. Mwishoni tunapendekeza maeneo yanayohitaji utafiti zaidi.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy