Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "John, Scholastica Mlingi"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Dhima ya semi za kawa katika jamii ya watu wa pwani
    (2016) John, Scholastica Mlingi
    Semi ni kauli au tungo fupifupi zenye mafunzo na misemo yenye kutoa mafunzo ambayo huonesha mwelekeo Fulani wa maisha. Utafiti huu umechunguza dhima ya semi zilizoandikwa kwenye makawa katika jamii la Dar es salaam na wilaya ya Kilwa. Malengo mahususi ya utafiti huu yalikua ni kbainisha mitindoya lugha, dhamira na dhima za semi za kwenye makawa. Mbinu za utafiti zilizotumika katika ukusanyaji wa wa data ni ushuhudiaji, usaili na kupitia nyaraka maktabani. Vifaa vilivyotumika katika ukusanyaji wa data ni kamera, simu, kompyuta, karamu na karatasi. Nadharia ya mwitiko wa msomaji na nadharia ya sosholojia zilitumika katika kukamilisha malengo ya utafiti huu. Nadharia ya mwitiko wa msomaji ilitumika zaidi kwa watumiaji wa makawa, watengenezaji , wauzaji, wachoraji na waandishi wa semi za kwenye makawa. Nadharia ya Sosholojia ilitumika kwa sababu semi nyingi zilikuwa zinahusu masuala ya kijmii kama vile mapenzi na upendo, nafsi ya mwanamke katika jamii na kadhalika. Kwa kiasi kikubwa matokeo ya uchanganuzi wa data yaliweza kujibu maswali ya utafiti na hivyo kukamilisha malengo ya utafiti, kwani yalibaini kuwa semi za kwenye makawa zimejaa matumizi mbalimabli ya lugha na dhamira. Pia utafiti umebaini kuwa semi za kwenye makawa zina mchango mkubwa katika maisha ya kila siku ya mwanajimii. Huelimisha, kuburudisha na kuonya jamii kuhusu mabbo mbalimbali yaliyopo na yanayotokea katika jamii.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy