Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Isindikiro, Joseph"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Athari za kifonolojia na kimofolojia za Kiswahili cha mwambao wa ziwa Tanganyika Katika Kiswahili sanifu
    (University of Dar es Salaam, 2016) Isindikiro, Joseph
    Utafiti huu umechunguza sifa na athari za kifonolojia na kimofolojia za Kiswahili cha Mwambao wa ziwa Tanganyika katika Kiswahili sanifu ili kubaini hali ya kiisimu ya Kiswahili sanifu katika eneo ambalo ni makutano ya watumiaji wa Kiswahili kutoka Tanzania, Kongo, Burundi na Zambia wakiwa na lugha zao za makabila pia. Utafiti huu umetumia data kutoka uwandani na maktabani. Data ya uwandani, imekusanywa katika kata za mwambao wa ziwa Tanganyika, wilayani Nkasi kwa kutumia mbinu za ushuhudiaji, hojaji, usaili na utungaji wa insha. Kata hizo zimeteuliwa kutokana na uhusiano mkubwa wa kibiashara na kijamii baina ya watumiaji wa Kiswahili sanifu kutoka Tanzania, Kiswahili cha Kongo, Kiswahili cha Zambia na Kiswahili cha Burundi. Data ya maktabani imetumika kufafanua na kushadidia hoja na data ya uwandani katika ilivyofafanua vipengele mbalimbali. Data imechambuliwa kwa kutumia mkabala wa kimaelezo na kiidadi. Utafiti umeongozwa na Nadharia ya Mwachano na Makutano na Nadhariatete ya Ndugu na Ndugu wa Mbali iliyoasisiwa na Massamba (2007). Nadharia hii imeonekana kulandana na hali halisi ya Kiswahili kinachotumiwa eneo la utafiti. Matokeo ya utafiti yameonesha kuwa Kiswahili sanifu katika mwambao wa ziwa Tanganyika kimepata athari katika vipengele vya fonolojia na mofolojia kutokana na makutano ya watumiaji wake na watumiaji kutoka maeneo mengine ya utafiti huu. Aidha, uthari hizo zimesababisha baadhi ya maumbo katika msamiati wa Kiswahili sanifu kuathirika na kuonekana kuwa msamiati mpya katika matumizi ya Kiswahili sanifu. Utafiti unapendekeza kufanyika kwa utafiti mwingine kama huu utakaojikita katika kuchunguza mchango wa KMZT katika msamiati wa Kiswahili sanifu. Aidha, unaweza kufanyika uchunguzi wa kina kuhusu vipengele vya kiisimu kinachotajwa na baadhi ya wanaisimu kuwa Kiswahili sanifu cha Kongo.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy