Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Henry, Jane"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Usimulizi katika riwaya ya kusadikika (1951).
    (University of Dar es Salaam, 2016) Henry, Jane
    Lengo kuu la utafiti huu lilikuwa ni kuchunguza usimulizi katika riwaya ya Kusadikika (1951). Malengo mahususi yalikuwa matatu ambayo ni pamoja na kubainisha vipengele vya usimulizi jinsi vinavyojibainisha katika riwaya ya Kusadikika, kuchambua utokezaji wa msimulizi kwa kuzingatia dhima zake wakati wa usimulizi, kujadili namna ambavyo vipengele vya usimulizi vinavyoweza kuibua maana ya kazi ya riwaya. Nadharia ya Naratolojia ndiyo iliyotumika katika uchambuzi wa data ya tasinifu hii. Mbinu za ukusanyaji wa data zilifanyikia maktabani kwa kusoma maandiko na machapisho mbalimbali yanayohusu mada husika. Kwa ujumla, riwaya za Shaaban Robert zimefanyiwa uchambuzi na wataalamu mbalimbali, ingawa kwa kiasi kikubwa wataalamu hao wamejikita zaidi katika fani na maudhui. Pamoja na kuzua mijadala kutokana na uchambuzi, riwaya hizo hazijafanyiwa uchambuzi wa kutosha kwa kuzingatia sifa zake za kiusimulizi. Hivyo, kwa kutumia Nadharia ya Naratolojia, tasinifu hii inachunguza suala la usimulizi kwa kuzingatia vipengele vyake. Hoja ya msingi ya tasinifu hii ni kuwa usimulizi na dhima za msimulizi ni vipengele vinavyosaidia kubaini maudhui na malengo ya kazi inayohusika. Hivyo, katika tasinifu hii vipengele mbalimbali vya usimulizi pamoja na dhima za msimulizi vimebainishwa na kufafanuliwa. Zaidi ya kubainishwa kwa mambo hayo, pia kumetolewa hitimisho la tasinifu na mapendekezo ya maeneo yanayohitaji kutafitiwa kwa tafiti zitakazofuata.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy