Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Ginni, Veronica Felix"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Ulinganishi wa dhima za mazingira ya Darasani na Nje ya darasa katika ujifunzaji wa Msamiati wa Kiswahili ikiwa lugha ya pili katika jamii ya Wairaki.
    (Chuo Kikuu cha Dar es salaam, 2019) Ginni, Veronica Felix
    Suala la mazingira ya ujifunzaji lugha ya pili (kuanzia sasa Lg2) limewavuta wataalamu mbalimbali. Hata hivyo hakuna utafiti uliofanyika kuhusu ulinganishi wa msamiati katika mazingira ya darasani na nje ya darasa katika kumwezesha mjifunzaji kumudu lugha ya Kiswahili katika jamii ya Wairaki. Hivyo, utafiti huu umechunguza ulinganishi wa dhima za mazingira ya Darasani na nje ya Darasa katika ujifunzaji wa msamiati wa Kiswahili ikiwa Lg2 katika jamii ya Wairaki. Utafiti huu ulifanyika katika vijiji vitatu vya Gilala, Maran na Kilimatembo katika kata ya Rhotia, Wilayani Karatu, Mkoani Arusha, Tanzania. utafiti ulikuwa na malengo matatu, kubainisha mazingira ya darasani na nje ya darsas yanayodhihirika katika ujifunzaji wa msamiati wa Kiswahili ikiwa Lg2 kwa wanafunzi wa jamii ya Wairaki, kuchungua dhima za mazingira ya darasani na nje ya darasa katika ujifunzaji wa msamiati wa Kiswahili ikiwa Lg2 kwa wanafunzi wa jamii Wairaki na kulinganisha dhima za mazingira ya darasani na nje ya darasa katika ujifunzaji msamiati wa Kiswahili ikiwa Lg2 kwa wanafunzi wa jamii ya wairaki. Data za utafiti huu zilikusanywa kwa kutumia njia kuu mbili, hojaji na usaili. Aidha, utafiti wa data uliongozwa na nadharia ya Utamaduni-Jamii. Matokeo ya utafiti ni kuwa mazingira ya nje ya darasa yanayodhihirika katika ujifunzaji wa msamiati wa Kiswahili ni pamoja na mabango yaliyopo barabarani na madukani, mabanda ya video. Mazingira ya darasani yamehusisha: vitabu na matini mbalimbali, kamusi za Kiswahili. Vilevile, imebainika kuwa mazingira ya nje ya darasa yana dhima za kujenga kumbukumbu na kujiamini, kuchochea udadisi. Nayo mazingira ya darasani yana dhima za kujenga uelewa, kutoa motisha kwa mjifunzaji lugha . pia utafiti umebaini kuwa mazigira ya darasani na nyumbani yana dhima kubwa katika ujifunzaji wa Lg2 lakini kwa kiwango tofautitofauti. Hata hivyo, mazingira ya darasani yanaonekana kuwa ni faafu Zaidi katika ujifunzaji wa misamiati wa Kiswahili kwa wanafunzi wa Kiiraki kuliko mazingira ya nje ya darasa. Hii ni kutokana na matumizi makubwa ya Kiswahili katika jamii hiyo. Utafiti huu unapendekeza kufayika kwa tafiti za kina katka ujifunzaji wa Kiswahili ikiwa Lg2 kwa kuchunguza tofauti za ujifunzaji wa Kiswahili ikiwa Lg2 kwa wanafunzi wa jamii ya Kibantu na ule wa jamii ambazo si za kibantu katika vipengele vya fonolojia, mofolojia na sintaksia za lugha husika.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy