Repository logo
  • English
  • CatalĂ 
  • ÄŚeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • GĂ idhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • PortuguĂŞs
  • PortuguĂŞs do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • TĂĽrkçe
  • Tiáşżng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • CatalĂ 
  • ÄŚeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • GĂ idhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • PortuguĂŞs
  • PortuguĂŞs do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • TĂĽrkçe
  • Tiáşżng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Francis, Erasmus"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Lugha ya uganga na uchawi katika fasihi ya kiswahili ; uchunguzi katika riwaya ya mirathi ya hatari na tamthilia ya ngoma ya ng`wanamalundi
    (University of Dar es Salaam, 2018) Francis, Erasmus
    Utafiti huu umechunguzwa namna matumizi ya lugha ambacho ni moja kati ya vipengele vya fani kilivyotumiwa na waandishi wa kazi za fasihi ya Kiswahili kujadili uganga na uchawi huku tukirelejelea katika kazi mbili za nathari ambazo ni riwaya ya Mirathi ya Hatari ( 1997 ) na tamthilia ya Ngoma ya Ng’wanamalundi ( 1988 ). Utafiti huu umeongozwa na malengo mahsusu ambayo ni mosi, kubainisha lugha iliyotumika kujadili uganga na uchawi katika kazi teule, pili, kufafanua mchango wa matumizi ya lugha katika kujadili uganga na uchawi katika kazi teule. Utafiti huu ni wa kimaktaba, umefanywa jatika maktaba ziulizopo chuo Kikuu Cha Dar es Salaam kwa kutumia mbinu ya uchambuzi matini. Data zimechambuliwa kwa mkabala wa kitaamuli kwa kutumia nadharia za semiotiki na Ontolojia ya kibantu. Katika utafiti huu mtafiti amegundua kuwa, lugha hufinywangwa kwa namna mbalimbali kwa kutumia mbinu za kisanii za lugha kutegemeana na jambo msanii alilokusudia kuipelekea jamii husika. Kwa mfano,Watunzi wa kazi teule katika kujadili uganga na uchawi wametumia tafsida, tashihisi,mdokezo, dhihaka, takriri, tashibiha, sitiari, chuku, kejeli, semi na kubadili misimbo, ritifaa, tashititi na meto ni mia. Mbinu hizo zimetumika kujadili uganga na uchawi kifani na kimaudhui kwa mfano, imebainika kuwa kifani mbinu hizo zimetumika kujenga dhihaka, kuibua ucheshi, kutambulisha wahusika, kujenga kejeli, kujenga dhihaka, kuibua ucheshi, kutambulisha wahusika, kujenga kejeli, kujenga taharuki na kujenga taswira na hujenga dhamira. Imebainika kuwa, uganga na uchawi vimejadiliwa kama utamadumi wa kiafrika, kama itikadi, kama falsafa na kama tasnifu. Utafiti huu utasaidia watunzi wa kazi mabalimbali za kifasihi katika kutumia vipengele mabalimbali vya kifani katika kuisawiri jamii barabara. Utawaongoza watafiti wa baadaye katika kutafiti veipengele vingine vya fani kama vile maaandhari na wahusika na namna vipengele hivyo vinavyotumika na wasanii katika kufikisha ujumbe wao kwa jamii waliyokusudia.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy