Repository logo
  • English
  • CatalĂ 
  • ÄŚeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • GĂ idhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • PortuguĂŞs
  • PortuguĂŞs do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • TĂĽrkçe
  • Tiáşżng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • CatalĂ 
  • ÄŚeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • GĂ idhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • PortuguĂŞs
  • PortuguĂŞs do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • TĂĽrkçe
  • Tiáşżng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Elias, Sikitu"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Upanuzi wa maana za maneno katika mazungumzo ya Kiswahili: mifano kutoka vitenzi vya Kiswahili.
    (University of Dar es Salaam, 2016) Elias, Sikitu
    Utafiti huu unahusu upanuzi wa maana za maneno katika mazungumzo ya Kiswahili. Jumla ya vitenzi 40 vimechunguzwa katika utafiti huu. Eneo ambalo utafiti huu umefanyika ni katika kata za Ubungo, Mbezi na Manzese zilizopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam. Vijana ndio waliohusishwa katika kutoa taarifa zinazohusiana na mada ya utafiti huu. Data ya utafiti huu imepatikana kwa kutumia mbinu tatu; yaani hojaji, mahojiano na Maktabani. Data iliyokusanywa imechambuliwa kwa kutumia nadharia ya Umaanilizi wa Mazungumzo ya Herbert Paul Grice (1975). Hata hivyo, uchambuzi wa data umefanyika kwa kutumia mikabala miwili, mkabala wa kimaelezo na mkabala wa kiidadi. Matokeo ya utafiti huu yameonesha kuwa pamoja na maneno kuwa na maana zake za msingi, bado maana hizo hupanuliwa katika mazungumzo hali ambayo husababisha kuongezeka kwa maana za ziada katika maneno ya lugha. Pia, imebainika kuwa maana za kingono zinaongezeka kwa kasi katika maneno ya lugha kutokana na upanuzi unaofanywa katika mazungumzo ya Kiswahili. Vilevile, imebainika kuwa katika mazungumzo, mzungumzaji na msikilizaji wote wanahusika katika kupanua maana za maneno. Kutokana na kuibuka kwa maana nyingine kuendelea kutokea katika maneno ya lugha, utafiti huu unapendekeza kuwa maana zinazodumu ziingizwe katika kamusi ili watumiaji wa lugha waweze kuzirejelea pindi inapobidi kuzirejelea. Pia, kwa kufanya hivyo, itawasaidia hata wajifunzaji wa Kiswahili kama lugha yao ya pili kung’amua maana kama hizo katika muktadha unaohusika. Aidha, tafiti nyingine zinaweza kuchunguza upanuzi wa maana za maneno katika aina nyingine za maneno kwa kuwa mabadiliko ya maana ni suala endelevu.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy