Repository logo
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Dzomba, Edwell"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Mchomozo wa kipragmatiki katika nagona na mzingile: uchunguzi wa ‘kimya’
    (University of Dar es Salaam, 2018) Dzomba, Edwell
    Lengo kuu la utafiti huu ni kuchunguza kimya kama mchomozo wa kipragmatiki katika riwaya mbili za Euphrase Kezilahabi ambazo ni Nagona na Mzingile. Mtafiti alikusanya data kwa kutumia mbinu ya usomaji matini. Sehemu zote zilizoandikwa neon ‘kimya’ na taarifa zinazozunguka neon hilo zilikusanywa kama data za kufanyia utafiti katika mazungumzo ya wahusika. Kila kimya kilipewa alama na kasha kikachambuliwa kwa kutumia mkabala wa kielimu-mitindo. Data zilichambuliwa kwa kutumia Mkabala wa kielimu-mtindo na Mkabala wa Korasi katika fasihi ambapo misingi ya Nadharia ya Uhusisho ya Sperber na Wilson (1986, 1995) na Nadharia ya Korasi katika Fasihi ya Mutembei (2012) imeunganishwa kuchunguza data. Matokeo ya utafiti huu yanaonesha kuwa, kimya katika riwaya za Kiswahili ni jambo la msingi na linahitaji umakini katika kuchunguza fani na maudhui ya riwaya za Kiswahili. Aidha, utafiti huu uligundua kuwa elimu-mtindo ni njia ya kipekee inayoweza kubainisha mtindo wa mwandishi kwa kina. Kupitia Mkabala wa Elimu-mitindo, kazi hii iliweza kuibua mtindo wa Kezilahabi katika matumizi ya kimya kuwasilisha mawazo yake. Kwa kuwa, kimya kinawasilisha mawazo yake. Kwa kuwa, kimya kinawasilisha maana iliyofichika na isiyo ya moja kwa moja, mkabala wa kielimu-mtindo umetumika kuchunguza mtindo wa Kezilahabi wa kumtaka msomaji aingilie kazi kwa undani kupitia matumizi ya kimya. Mkabala huu umeoneshwa na kufafanuaa maana zinazowasilishwa katika kimya hicho. Kwa hiyo, kuna haja ya kuchunguza kimya katika riwaya zingine za Kiswahili kwa kutumia mkabala na nadharia za kielimu-mitindo ili kuweza kubaini namna waandishi wanavyokitumia kuwasilisha maudhui yao katika mitindo mbalimbali.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy