Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Didas, Livin Kimario"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Usawiri wa mwanamke katika tamthilia ya Kiswahili ya kimfumojike mifano kutoka mama mtakatifu (1982) na kivuli kinaishi (1990)
    (University of Dar es Salaam, 2019) Didas, Livin Kimario
    Utafiti huu umechunguza uwasiri wa mhusika mwanamke katika tamthilia ya Kiswahili ya kimfumojike ukijikita katika tamthilia ya Mama Mtakatifu (1982) na Kivuli Kinaishi (1990) ili kubaini ujitokezaji wa mwanamke anayesawiri mfumojike katika tamthilia. Utafiti huu uliongozwa na malengo mahususi matatu ambayo ni, mosi, kufafanua sifa za muhusika mwanamke anaye wasiri mfumojike katika tamthilia hizo teule, pili kubainisha dhamira zitokanazo na sifa za mhusika mwanamke anayewasiri mfumojike katika tamthilia hizo teule, na tatu, kuchambua dhima ya ujitokezaji wa mhusika mwanamke anayewasiri mfumojike katika tamthilia hizo teule kwa maendeleo ya fasihi. Data za utafiti huu zilikusanywa maktabani. Uchambuzi wa data ullifanywa na kutumia nadharia ya Ufemanisti wa Kiafrika. Nadharia ya ufemanisti wa kiafrika humakinikia uhusiano wa yale yanayoandikwa katika fasihi na mtazamo wake juu ya mwanamake wa kiafrika na dispora. Sambamba, na hayo mkabala wa kitaamuli ulitumika kuwasilisha na kuchambua data za utafiti huu. Matokeo ya utafiti huu yamebaini utokezaji wa mhusika mwanamke anayewasiri mfumojike katika tamthilia tajwa. Sifa zake ni mwanamke ndiye kiongozi wa juu, mweye mamlaka ya kuamua bila kuhojiwa, msimamizi wa shughuli za sherehe za kitamaduni na huongoza akisaidiana na baraza la wazee. Aidha, husimamia afya za wanajamii, ndiye kiongozi wa majeshi na mtetezi wa jamii, mrithi, muundaji na msimamaiaje wa utekelezaji wa sheria. Mbali ya sifa hizo pia mwananamke hufanya maamuzi kushirikisha na wengine, mwenye umri mkubwa na mwisho huwa na nguvu za sihiri na uganga. Sifa hizi zinaibua dhamira zifuatazo , uongozi, ushawishi na werevu, busara na utu katika maamuzi, afya kwa wanajamii, utawala wa sheria, uwajibikjai na uzalendo, ujasiri na uganga na sihiri. Fauka ya hayo, imebainika kwamba uwasiri huo wa mhusika mwanamke ana dhima kadha wa kadha katika maendeleo ya fasihi nazo ni kuibua mkondo wa tamthilia ya Kiswahili usiozoeleka, pili, kuibua mkondo usiozoeleka na uwasiri wa mwanamke katika fasihi ya Kiswahili. Tatu, kuendeleza nadharia ya Ufemanisti wa Kiafrika, nne kuendeleza ontolojia ya Kiafrika, tano, kutanganisha fasihi andishi na fasihi simulizi. Kwa ujumla, matokeo ya utafiti huu yanaonsha susawiriwa kwa mhusika mwanake anayesawiri mfumojike katika tamthilia ya Kiswahili. Inapendekezwa kua watafiti wengine wachunguze usawiri wa mhusika mwanamke wa kimfumojike katika tamthilia za watunzi wa fasihi wanawake na pia katikat tanzu zingine. Kwa wahakiki wa watunzi wa fasihi ya Kiswahili inapendekezwa washughulikie masuala ya kijamii hususani tamaduni zinazoonekana kutopewa umuhimu katika kuchunguzwa na kuandikiwa kama utamaduni wa mfumojike katika fasihi ya Kiswahili.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy