Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Budebah, Christopher Bundala"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Mbinu za utunzi wa nyimbo ndefu: uchunguxi wa nyimbo katika ngoma ya wagashe
    (University of Dar es Salaam,, 2012) Budebah, Christopher Bundala
    Utafiti huu ulichunguza Mbinu za Utunzi wa Nyimbo Ndefu za Ngoma ya Wigashe, ya jamii ya Wasukuma. Lengo la utafiti huu lilikuwa ni kuzibaini Nyimbo Ndefu na Mbinu za Utunzi wa Nyimbo hizo. Data zilipatikana katika wilaya ya Kwimba kwa kuwahoji manju na wafuasi, kusikiliza nyimbo na kuzirekodi na zilitumika kama data za msingi. Matokeo yameonesha kuwa, nyimbo ndefu za Wigashe zinajulikana kwa jina la Migololo, Maliliko, Mihilili au Busoloja. Maneno hayo ya Kisukuma yanatambulisha urefu wa kitu. Urefu wa nyimbo hizi hupimwa kwa kutumia vigezo mbalimbali. Kigezo kimojawapo ni muda unaotumika katika uimbaji wa wimbo mmoja mfululizo ambazo ni dakika 25 hadi 180. Kigezo kingine ni kutumia idadi ya vijiti ambapo katika uimbaji, urefu wa nyimbo hutegemea uchache au wingi wa vijiti vilivyohesabiwa wakati wa mashindano. Tatu ni nyimbo ndefu kuwekwa kama sharti la msingi wakati wa kumpata mshindi katika mashindano ya ngoma ya Wigashe. Mbinu zilizobainika ni pamoja na uwezo wa manju wa kufafanua mambo mengi yaani (Jitulo) katika wimbo mmoja Mbinu nyingine ni urudiaji wa maneno, udokezi nyuma na mbele na uchepukaji wa mada Utafiti umebaini pia kuwa kuna mbinu ya utendaji wa kisanaa, yaani mbwembwe na manjonjo ya wachezaji na upigaji wa ala za muziki hurefusha muda, yaani wakaa. Mbinu ya kurefusha muda hutumika mwanzo, kati au mwishoni mwa wimbo. Licha ya kufanikiwa kwa malengo ya utafiti, bado kuna haja ya kufanyika tafiti nyingine katika uwanja huu, hususan kuonesha uhusiano kati ya fasihi simulizi na mambo mbalimbali yaliyomo katika jamii za kiafrika zikiwamo nyimbo

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy