Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Bangi, Virigirio"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Muundo wa kirainomino katika lugha ya Kihehe
    (University of Dar es Salaam, 2012) Bangi, Virigirio
    Utafiti huu ulihusu muundo wa kirainomino (kwa hiyo, KN) katika lugha ya Kihehe, ambayo huzungumzwa mkoa wa Iringa katika wilaya za Iringa, Mufindi na Kilolo. Lengo kuu la utafiti huu lilikuwa ni kuchunguza muundo wa kirainomino katika lugha ya Kihehe. Utafiti umefanyika katika vijiji vya Wasa, Usengelindete, Ihomasa na Ufyambe katika kata ya Wasa, wilaya ya Iringa mkoa wa Iringa, Tanzania. Ili kukamilisha kazi hii, Nadharia ya Msingi wa Isimu iliongoza utafiti huu, yaani ufafanuzi wa vipengele mbalimbali vya lugha huzingatia jinsi wazungumzaji wa lugha husika wanavyozungumza lugha yao na si kwa kuongozwa na kanuni za lugha za Ulaya. Mbinu za utafiti zilihusu: muundo wa utafiti, eneo la utafiti, sampuli ya watafitiwa, ukusanyaji, uchanganuzi na uwasilishaji wa data. Data ya utafiti ni ya aina mbili, yaani data ya msingi na data fuatizi ambapo miundo mbalimbali ya tungo ilikusanywa na kuchambuliwa ili kuchunguza muundo wa KN katika lugha ya Kihehe. Kazi imegawanyika katika sura tano. Sura ya kwanza, imeeleza kiini cha utafiti na utaratibu uliozingatiwa katika kufanikisha utafiti. Sura ya pili, imeshughulikia mapitio ya maandiko kuhusiana na muundo wa KN katika lugha za Ulaya na katika lugha za Kibantu. Mapitio haya, yamebainisha kuwa kuna tofauti ya muundo wa virainomino katika lugha za ulaya na zile za Kibantu. Aidha, mpangilio wa viandami vya KN hutofautiana kati ya lugha moja na nyingine. Sura ya tatu, imehusu mbinu za utafiti. Sura ya nne, imeshughulikia uchanganuzi wa data. Kwa ujumla, data iliyopatikana imechanganuliwa kwa njia ya maelezo. Nadharia ya msingi wa Isimu ya Dixon (1997) iliongoza mjadala na uchanganuzi wa data hii. Sura ya tano imeshughlikia muhtasari, matokeo na mapendekezo kwa tafiti nyingine. Matokeo ya utafiti yamebainisha vijenzi nane(8) vy KN cha Kihehe. Kimpangilio, KN cha Kihehe huanza na neno kuu na viandami vingine hufuata neno kuu. Hii ina maana kuwa kanuni ya jumla aliyoitoa rugemalira (2007) kuhusu mpangilio wa KN katika lugha za kibantu, inapingana na utafiti huu. Katika mazungumzo ya kawaida, miundo mingi huwa na viandami hadi vine. Lakini miundo mirefu huwa na viandami hadi tisa. Kuhusu dhima za KN cha Kihehe, ni kiima cha sentensi, yambwa na yambiwa. Pia, KN huwa na dhima

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy