Repository logo
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Abdalla, Khadija Juma"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Ulinganishi wa methali za lugha mbili katika kamusi thania mifano kutoka kamusi ya Kiswahili – Kiingereza ya TUKI (2014)
    (University of Dar es Salaam, 2017) Abdalla, Khadija Juma
    Utafiti huu, ulijihusisha na ulinganishi wa methali za lugha mbili katika Kamusi Thania. Kamusi iliyotumika katika utafiti huu ni Kamusi ya Kiswahili – Kiingereza, Toleo la Pili iliyotungwa na TUKI (2014). Katika ulinganishaji huo methali za Kiswahili na zile za Kiingereza zilizoingizwa katika kamusi hii zilitumika. Mtafiti alitumia mbinu mbalimbali katika kuhakikisha lengo kuu na malengo mahususi ya utafiti huu yanafikiwa. Data ya utafiti huu ilikusanywa kutoka maktabani na uwandani. Katika kukusanya data za uwandani mtafiti alitumia mbinu za hojaji na mahojiano. Kwa upande wa data za maktabani mtafiti alifanya uchunguzi na uchambuzi wa methali mbalimbali kupitia Kamusi ya Kiswahili-Kiingereza, Toleo la Pili ya TUKI (2014). Katika kuzichambua data hizo, mtafiti alitumia mkabala wa maelezo kwa kiasi kikubwa. Hata hivyo, mkabala wa kiidadi ulitumika pale palipohitajika. Nadharia ya Maana ni Matumizi ilitumika katika kuchambua data zinazohusiana na ulinganishaji wa taswira na maana za methali hizi. Matokeo ya utafiti huu kwa ujumla yaliweza kutupatia makundi mawili ya methali. Kundi la kwanza ni la methali zinazofanana taswira na maana na kundi la pili ni lile la methali zinazotofautiana taswira lakini zinafanana maana. Pia, sababu mbalimbali zilizopelekea kufanana na kutofautiana kwa taswira na maana katika methali hizo zimefafanuliwa. Kutokana na matokeo ya utafiti, mtafiti anapendekeza zifanyike tafiti zaidi zinazohusiana na ulinganifu wa methali za lugha mbili zilizoingizwa katika kamusi thania mbalimbali ili kuweza kubaini kufanana na kutofautiana kwa methali hizo katika vipengele tofauti vya lugha.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy