Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Abass, Zakaria Mohamed"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • No Thumbnail Available
    Item
    Mfumo wa uwakilishi wa nafsi katika vitenzi vya kiswahili cha Pemba
    (University of Dar es Salaam, 2015) Abass, Zakaria Mohamed
    Utafiti huu umeshughulikia Mfumo wa Uwakilishi wa Nafsi katika Vitenzi vya Kiswahili cha pemba . Utafiti umefanyika katika kitongoji cha Kiuyu wilaya ya Wete na Konde wilaya ya Micheweni katika mkoa wa Kaskazini Pemba. Data za utafiti huu zimekusanywa kwa kutumia mbinu ya maktabani pamoja na mbinu ya uwandani. Katika mbinu ya uwandani utafiti umetumia njia ya hojaji, majadiliano na ushuhudiaji katika ukusanyaji wa data. Data zilizopatikana katika utafiti huu zimechambuliwa kwa mkabala usio wa kiidadi (mkabala wa kimaelezo), hata hivyo majedwali yametumika ili kumrahisishia msomaji kuelewa kwa wepesi. Ili kufanikisha utafiti huu nadhari ya Mofolojia Leksika (ML) ya Kiparsky (1982) imetumika katika uwasilishaji na uchambuzi wa data. Matokeo ya utafiti yanaonesha kwamba kiasi kikubwa maumbo yanayowakilisha nafsi katika Kipemba huathiriwa na michakato mbalimbali ya kifonolojia na kimofolojia ikiwemo udondoshaji na uyeyushaji ambayo husababisha baadhi ya vitamkwa kudondoshwa au kubadilishwa kwa mujibu wa mazingira ambayo viambishi hivyo vinakuwepo. Aidha, matokeo yanaonesha kuwa viwakilishi nafsi katika vitenzi vya Kipemba hubadilika kwa mujibu wa mabadiliko ya kitenzi katika hali na nyakati mbalimbali Kwa upande wa uamilifu, matokeo yanaonesha kwamba, baadhi ya viwakilishi nafsi katika vitenzi vya Kipemba hufanya kazi ya kuwakilisha nafsi pamoja na dhana nyingine kama vile njeo, ilhali baadhi hufanya kazi ya kuwakilisha nafsi pekee. Ingawa utafiti huu umechambua mfumo wa uwakilishi wa nafsi katika vitenzi vya Kipemba, bado kuna haja ya uchunguzi na uchambuzi wa kina zaidi juu ya unyambulishaji wa vitenzi vya Kipemba kwa ujumla wake ikiwa ni pamoja na kuangalia kufanana na kutofautiana kwake na Kiswahili Sanifu.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy