Azimio la Arusha baada ya miaka kumi
Date
1977
Journal Title
Journal ISSN
Volume Title
Publisher
Government Printer
Abstract
Azimio la Arusha ni tamko rasmi la kisiasa lilikosudiwa kuongoza Tanzania katika njia ya ujamaa kadiri ya maelekezo hasa ya Julius Kambarage Nyerere.Jina la azimio linatokana na mji wa Arusha lilipitishwa tarehe 26-29 Januari 1967.
Tarehe 5 Februari 1967 Mwalimu Nyerere alilitangaza huko Dar es Salaam kama uamuzi wa Watanzania wa kuondoa unyonge wao.Tamko la Arusha lina sehemu tano: Itikadi ya chama cha TANU; Siasa ya ujamaa; Siasa ya kujitegemea; Uanachama wa TANU; na Azimio la Arusha.
Description
Available in print form, East Africana Collection, Dr. Wilbert Chagula library
Class mark EAF PAM DT438.N9
Keywords
Arusha Declaration,, Socialism in Tanzania
Citation
Nyerere, J.K (1977). Azimio la Arusha baada ya miaka kumi. Dar es Salaam: Government Printer, p56