Repository logo
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Salim, Shikha Ali"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • No Thumbnail Available
    Item
    Matumizi ya kipemba katika shughuli za kielimu na mawasiliano ya nyumbani kwa wapemba waliohamia Unguja
    (University of Dar es Salaam, 2014) Salim, Shikha Ali
    Utafiti huu umeshughulikia “Matumizi ya Kipemba katika Shughuli za Kielimu na Mawasiliano ya Nyumbani kwa Wapemba Waliohamia Unguja”. Utafiti umefanyika katika shehia ya Kinuni na Mtopepo, Mkoa wa Mjini Magharibi, Wilaya ya Magharibi Unguja. Watafitiwa walipatikana kwa kutumia njia ya Usampulishaji nasibu tabakishi, kwa kuzingatia vigezo vya umri na jinsi. Aidha, mbinu zilizotumika katika ukusanyaji data ni: hojaji, mahojiano, usikilizaji, kujichunguza na ushiriki. Utafiti ulilenga kubainisha kiwango, kubainisha sababu na kujadili athari za matumizi ya Kipemba katika shughuli tajwa. Ili kufanikisha kazi hii, utafiti huu uliongozwa na Nadharia Jumuishi ya Giles (1979) na Nadharia ya Uchanganuzi wa Kimaeneo ya Fishman (1972). Matokeo ya utafiti huu yamedhihirisha kuwa matumizi ya Kipemba MKM kwa watafitiwa wanafunzi yamechukuwa nafasi kubwa ya kutumiwa na wanafunzi wakiwa ndani na nje ya darasa bila ya usimamizi wa mwalimu, kinyume na wawapo na mwalimu. Sababu zilizoelezwa ni pamoja na: kutomudu vema Kiswahili Sanifu na kuathiriwa na lugha yao ya kwanza (Kipemba). Kuhusu matumizi ya Kipemba MCH, ni kutokana na hofu ya kuchekwa na baadhi ya wanafunzi wenzao, hamu ya kumudu vema lugha inayopaswa kutumika shuleni na kuhofia kupungua kwa alama za ufaulu kwa masomo kwa vile Kiswahili Sanifu ndiyo lugha ya kufundishia. Kuhusu mawasiliano ya nyumbani, Kipemba kimeonekana kutumika zaidi dhidi ya lugha nyingine za jamii. Sababu za matumizi hayo ni pamoja na Kipemba kuwa lugha ya kwanza na ya utambulisho wa Wapemba. Kwa kuzingatia matokeo hayo ya matumizi ya Kipemba, kuna dalili kwamba lugha za jamii zinaweza kuchukuwa nafasi ya kutumika katika maeneo rasmi na yasiyo rasmi yenye kundi kubwa la jamii-lugha fulani. Hivyo ni vizuri kwa wizara ya elimu pamoja na sera ya lugha nchini Tanzania kusimamia kwa ukaribu matumizi sahihi ya Kiswahili Sanifu na lugha za jamii nchini.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy