Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Mweta, Samweli Emmanuel"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Matumizi ya nyimbo za watoto katika muziki wa bongo fleva
    (Chuo Kikuu cha Dar es salaam, 2019) Mweta, Samweli Emmanuel
    Utafiti huu unahusu dhima ya matumizi ya nyombo za watoto katika muziki wa bongo fleva. Utafiti huu uliongozwa na malengo mahsusi matatu ambayo ni;kubainisha nyimbo za muziki wa bongo fleva zinatotumia nyimbo za watoto, kubainisha dhamira zinazotokana na maatumizi ya nyimbo za watoto katika muziki wa bongo fleva , na dhima za matumizi ya nyimbo katika muziki wa bongo fleva . utafiti huu ulifanyika katika jiji la Dar es salaam katika wilaya tatu ambazo ni ilala, kinondoni na temeke, utafiti huu ulipitia maandiko mbalimbali hasa yanayohusu muziki wa bongo fleva na nyimbo za watoto. Utafiti huu uliongozwa na nadharia ya mwingiliano matini na nadharia ya mwitiko wa msomaji/msikilizaji.misingi ya nadharia hizi ndiyo iliyosababisha katika ukusanyaji na uchambuzi wa data za utafiti huu.utafiti huu ulifanyika maktabani na uwandni na ulitumia mbinu mbalimbali za ukusanyaji wa data kama vile ukusanyaje nausomaji wa matini, kusikiliza na kutazama video za muziki wa bongo fleva ,na kufanya mahojiano.matokeo ya utafiti yanaonesha kuwa, muziki wa bongo fleva una matumizi ya nyimbo za watoto. Mtafiti amebaini kuwa nyimbo za muziki wa bongo fleva zinazotumia nyimbo za watoto ni pamoja na Mama wa MR.Nice, Hello wa Diamond na Dede wa Aslay kwa kutaja chache.Aidha , dhamira zinazotokana na matumizi yz nyimbo za watoto katika muziki wa bongo fleva ni mgawanyo wa majukumu katika familia, uvumilivu, mapenzi ya dhati na kufichua uovu katika jamii. Aidha kwa upande mwingine dhima za matumizi ya nyimbo hizo ni kuasilisha muziki wa bongo fleva kufanya wimbo/muziki kuwa maarufu, utambulisho wa jamii, kufikisha ujumbe kwa njia ya kitoto, kuleta mvuto katika muziki, kuhifadhi fasihi simulizi na kuleta majaribio katika bongo fleva. Aidha , nyimbo hizi zinatumiwa na wasanii wa muziki wa bongo fleva kutokana na umuhimu wake katika jamii. Nyimbo za watoto katika jamii hutunza historia ya jamii, huleta ushirikiano na yanaonesha kuwa muziki huu ni sehemu ya maisha ya jamii kwa kuwa yanayozungumziwa ni yale yanayotoka katika jamii husika

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy