Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Mbunda, Irene Edward"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Ukanushi katika vitenzi vva lugha ya kibena: Msingi wa kimofosintaksia
    (University of Dar es Salaam,, 2012) Mbunda, Irene Edward
    Utafiti huu unaliusu utokeuji wa mofimu za ukunnslii kalika vitenzi vya lugha ya Kibena. Data iliyojadiliwa katika utafiti huu imekusanywa kutoka kalika vjjjjj vitatu ambavyo ni Mlwango, llunda na Kichiwa, Vijiji hivi vipo kalika wilaya ya Njombe, mkoani Njoinbe. Data msingi na data fuatizi /imetumika katika utafiti huu. Data msingi ilikusanywa uwandani, wakati data fuati/i ilikusanywa kutoka maktabani. Utafiti huu umegawanyika katika sura tano. Sura ya kwanza imeonesha suala lililochunguzwa katika utafiti huu pamoja na mipaka yake. Sura ya pili imeonesha msingi wa nadharia ya Umbo Upeo iliyoasisiwa na Prince na Smolensky (1993), Nadharia hii imetumika kama mwongozo wa uchambuzi wa data iliyokusanywa. Vilevile machapisho mbalimbali yanayoelezea juu ya mofimu za ukanushi katika vitenzi vya lugha mbalimbali za Kibantu yameoneshwa katika sura ya pili. Sura ya tatu inaonesha mbinu zilizotumiwa na mtafiti katika kukusanya data ya utafiti ambayo imechambuliwa na kufafanuliwa katika utafiti huu. Mbinu ya ushuhudiaji, hojaji na usaili zimeelezewa kuwa zimetumika katika kukusanya data uwandani. Mbinu ya kusoma na kunukuu imetumika kukusanya data maktabani. Sura ya nne imeonesha uchambuzi wa data ulivyofanyika katika utafiti huu kwa kuzingatia masharti zuizi yanayozuia mofimu za ukanushi kujitokeza katika ruwaza zisizo kubalifu katika lugha ya Kibena. Uzingatiaji wa masharti zuizi hayo unatokana na mwongozo wa nadharia ya Umbo Upeo iliyo na madai ya msingi kuwa maumbo mbalimbali ya lugha hutokana na masharti zuizi yaliyopo. Hivyo mofimu za ukanushi zimebainishwa kujitokeza kulingana na masharti zuizi ya utokeaji wa mofimu hizo katika lugha ya Kibena. Sura ya tano imeonesha matokeo ya utafiti pamoja na mapendekezo ya tafiti fuatishi. Data ya utafiti imebaini kuwepo kwa mofimu nne za ukanushi katika lugha ya Kibena. Mofimu hizo zimeoneshwa kuwa hujitokeza mwanzoni mwa vitenzi vinavyokanushwa. Vilevile data ya utafiti imebaini kuwa lugha ya Kibena haina tabia ya kupachika mofimu za ukanushi zaidi ya moja katika kitenzi kimoja.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy