Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Mbijima, Rose Jackson"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Dhima ya visasili katika jamii ya Wagogo.
    (University of Dar es Salaam, 2011) Mbijima, Rose Jackson
    Visasili ni utanzu mmojawapo wa fasihi simulizi unaopatikana katika jamii nyingi za Afrika na ulimwcngu kwa ujumla Visasili ni hadithi za kale zenye kuwakilisha imani na mtazamo wa jamii inayohusika kuhusu asili ya ulimwengu na mwenendo wake, kuhusu asili yao wenyewe na namna na shabaha ya maisha yao. Utafiti huu unahusu uchunguzi wa visasili katika jamii ya Wagogo. Utafiti ulikuwa na malengo mawili, kubainisha visasili vya Kigogo na kuhakiki dhima ya visasili hivyo Katika kufanikisha malengo ya utafiti, nadharia ya kiuamilifu imetumika katika uchanganuzi wa data. Data ilikusanywa kutoka mkoa wa Dodoma. Mbinu ya mahojiano ilitumika katika zoezi la kukusanya data sambamba na matumizi ya hojaji na kanda zilizorekodiwa na walaalamu wengine kuhusu visasili na zile alizorekodi mtafiti wakati akiwa uwandani. Utaflti ulibaini visasili viwili katika jamii ya Wagogo, ambavyo ni kisasili cha "Wang'omvya rafiki wa simba" na kingine ni "Babu asiyekuwa na shukrani." Dhima za visasili zilizobainishwa kwa kuzingatia visasili viwili vilivyopatikana katika utafiti. Kama tanzu nyingine za fasihi simulizi, utanzu wa visasili una mchango mkubwa katika maisha ya kila siku ya mwana jamii. Huelimisha jamii kuhusu mambo mbalimbali hasa yale yaliyotokea zamani na yanayoaminika kuwa ni ya kweli na yanaeleza kuhusu asili ya mambo kadha wa kadha katika jamii Visasili huonesha utamaduni wa jamii husika hasa kupitia kwenye ibada za miviga na matambiko. Ni utanzu unaoturudisha nyuma kabisa kuona historia ya Mwafrika kabla ya kuja kwa wageni walioleta dini mpya kutukumbusha tulikuwa tunaabudu vipi, nani, wapi na kwa namna gani Visasili ni uwanda ambao unahitaji tafiti zaidi za kitaaluma kutokana na umuhimu wake na dhima yake katikajamii. Inapendekezwa kuwa tafiti zifanywe katika vipengele vingine vya lugha, na kadhalika. Aidha, tafiti linganishi zifanywe kwa jamii tofauti tofauLi zenye visasili. Utafiti kuhusu tanzu nyingine mbali na visasili pia unaweza kufanyika katika jamii ya Wagogo, kwa mfano, hadithi za ngano methali na nyinginezo.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy