Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Makosa, Baraka"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Matumizi ya kiswahiili na lugha nyingine katika utoaji wa huduma za afya mkoani Lindi
    (University of Dar es Salaam, 2013) Makosa, Baraka
    Utafiti huu wa Matumizi ya Lugha ya Kiswahili na lugha nyingine katika utoaji wa huduma za afya ulifanyika katika wilaya ya Lindi na manispaa ya Lindi. Malengo ya utafiti huu yalikuwa kubainisha nani anatumia Kiswahili na nani anatumia lugha nyingine katika utoaji wa huduma kwenye hospitali na zahanati, kubainisha maeneo yanayotumiwa zaidi na Kiswahili na maeneo yanayotumiwa zaidi na lugha nyingine na kujadili athari za matumizi ya lugha ya Kiswahili na lugha nyingine katika utoaji wa huduma kwa watumiaji na lugha zenyewe. Utafiti huu ulihusisha jumla ya watafitiwa 43. Mtafiti alikusanya data kwa kutumia mbinu za mahojiano na hojaji. Matokeo ya utafiti huu yamebaini kuwa makarani, wauguzi na wafamasia wanatumia zaidi Kiswahili wakati madaktari na wasanifu maabara wanatumia zaidi Kiingereza. Pia, wanawake wanatumia zaidi Kiswahili, huku wanaume wakitumia zaidi Kiingereza. Wazee na rika la kati wanatumia zaidi Kiswahili wakati vijana wanatumia zaidi Kiingereza. Vilevile, matokeo yameonesha kuwa maeneo yanayotumiwa zaidi na Kiswahili ni mapokezi, chumba cha madawa na wodini na maeneo yanayotumiwa zaidi na lugha ya Kiingereza ni chumbani kwa daktari na maabara wakati lugha za jamii hazitumiwi katika utoaji wa huduma. Baadhi ya athari zilizobainishwa ni kuwepo kwa tafsiri potofu ya maneno kutoka lugha za kigeni, kuwa na msamiati changamani wa Kiswahili na lugha nyingine, kwa kuzitaja chache. Kutokana na matokeo hayo, utafiti huu umependekeza kuwa Kiswahili kipewe kipaumbele katika utoaji wa huduma kwenye hospitali na zahanati ndipo lugha nyingine zifikiriwe kutumika. Katika utoaji wa huduma za kijamii, lugha zinazoeleweka kwa wanajamii wengi ndizo zitumike na kuwepo kwa juhudi za kuhakikisha kwamba Kiswahili kinatumiwa kwa kiwango kikubwa katika utoaji wa huduma katika hospitali na zahanati.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy