Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Madila, Zacharia"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Matumizi ya majina ya Kiswahili jijini Dar es salaam, nchini Tanzania: Uchunguzi kifani wa majina ya watu
    (University of Dar es Salaam, 2020) Madila, Zacharia
    Utafiti huu unahusu matumizi ya majina ya Kiswahili jijini Dar es salaam, nchini Tanzania. Lengo la utafiti huu lilikuwa kubainisha kiwango cha matumizi ya majina ya Kiswahili jijini Dar es salaam. Aidha, utafiti huu ulilenga kutathimini mitazamo ya wanajamii kuhusu matumizi ya majina ya Kiswahili jijini Dar es salaam. Kadhalika, data ya utafiti huu ilikusanywa kwa njia ya usaili. Vilevile, utafiti huu umeshughulikiwa kiisimujamii kwa kuongozwa na Toleo la Wastani la Nadharia tete ya Uumbaji ya Sapir na Whorf ya mwaka 1958. Aidha data ya utafiti huu imechanganuliwakwa kutumia mkabala wa kitakwimu na kitaamuli. Hivyo kiwango cha matumizi ya majina ya Kiswahili jijini Dar es salaam ni asilimia ishirini na sita nukta mbili tano (26.25%) ya majina yote yaliyokusanywa katika utafiti huu . Aidha, kiwango cha matumizi ya majina kutoka lugha zingine ni asilimia sabini na tatu nukta saba tano (73.75%) ya majina yote yaliyokusanywa katika utafiti huu. Kadhalika, asilimia hamsini na moja nukta nane saba tano (51.875%) ya watoataarifa wameona kuwa majian ya Kiswahili yatumike katika uteuzi wa majina ya watu jijini Dar es salaam ilihali asilimia kumi na sita nukta mbili tano (16.25%) ya watoataarifa wameona kuwa majina ya Kiswahili yatumike lakini majina teule yanapaswa kuwa na maana nzuri. Pia asilimia nne nukta tatu saba tano (4.375%) ya watoataarifa wameona kuwa lugha yoyote inaweza kutumika katika uteuzi wa majina. Kwea upande mwingine, asilimia ishirini na tatu nukta moja mbili tano (23.125%) ya watoataarifa wameona kuwa majina ya Kiswahili yasitumike. Hivyo, ingawa matumiza ya Kiswahili katika shughuli za kila siku jijini Dar es salaam yamewashawishi watoatarifa wengi waone kuwa kuna haja ya kutumia majina ya Kiswahili lakini kuna vipengele vya kiisimujamii kama maana mbaya za majina, kasumba ya kupenda majina kutoka lugha za kigeni na athari za dini ambavyo vimeukilia kiwango kidogo cha matumizi ya majina hayo. Aidha ,utafiti huu unatoa wito wa tafiti zijazo kufanyika kuhusu matumizi ya majina ya Kiswahili katika maeneo mengine nchini Tanzania. Pia, utafiti ufanyike kuhusu sababu na athari za ubadilishaji wa majina katika jamii. Kadhalika, utafiti mwingine ufanyike kuhusu nafasi ya Kiswahili katika uteuzi wa majina ya utani katika jamii.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy