Repository logo
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • ÄŒeÅ¡tina
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • LatvieÅ¡u
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Deogratius, Emanuel"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • No Thumbnail Available
    Item
    Ulinganishi wa miundo ya silabi za lugha ya kiiraqw na kiswahili
    (University of Dar es Salaam, 2014) Deogratius, Emanuel
    Utafiti huu ulilenga kulinganisha miundo ya silabi za lugha ya Kiiraqw na Kiswahili. Utafiti unaendeleza mbele hatua za kuzitafiti lugha za Kiiraqw na Kiswahili ambapo kazi hii inatoa maoni zaidi katika kuelezea miundo ya silabi za lugha hizi na kuangalia kufanana na kutofautiana kwa miundo ya silabi hizo. Data zilizotumika katika utafiti huu zilikusanywa kwa kutumia utafiti wa maktabani na uwandani. Data za uwandani zilikusanywa kwa kutumia njia ya majadiliano katika vikundi vilivyokuwa vimelengwa, hojaji na mahojiano, ili kupata data andishi na simulizi. Uchambuzi, uwasilishaji na ufasili wa data uliongozwa na nadharia ya Umbo Upeo (UU) ya Allan Prince na Paul Smolensky (1993). Data zilichambuliwa na kuwasilishwa kwa mkabala wa kimaelezo na kwa kutumia majedwali. Matokeo yanaonesha kwamba lugha ya Kiiraqw inaelekea kufanana na lugha ya Kiswahili katika idadi ya irabu zake na viyeyusho; lakini lugha hizi zimetofautiana katika idadi na aina za konsonanti zake. Matokeo yanaonesha pia kwamba lugha ya Kiiraqw ina miundo 15 ya silabi ilhali lugha ya Kiswahili sanifu ina miundo 9 ya silabi. Licha ya lugha hizi kuwa na asili tofauti, zimetokea kufanana katika baadhi ya miundo ya silabi zake na katika mpangilio wa baadhi ya mashartizuizi. Miundo ya silabi ambayo imejitokeza katika lugha zote mbili ni pamoja na miundo ya I, KI, YI, KKI, KYI na IK. Ingawa utafiti huu umedokeza kufanana kwa baadhi ya mifumo ya sauti za lugha hizi kama ilivyo katika irabu, tunaona bado kuna haja ya kufanyika uchunguzi wa kimaabara kuthibitisha kufanana ama kutofautiana kwa irabu za lugha hizi. Pia, kuna kila sababu ya kufanyika utafiti zaidi wa kulinganisha lugha hizi katika vipengele vingine vya kifonolojia.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy