Repository logo
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
Repository logo
    Communities & Collections
    All of DSpace
  • English
  • Català
  • Čeština
  • Deutsch
  • Español
  • Français
  • Gàidhlig
  • Italiano
  • Latviešu
  • Magyar
  • Nederlands
  • Polski
  • Português
  • Português do Brasil
  • Srpski (lat)
  • Suomi
  • Svenska
  • Türkçe
  • Tiếng Việt
  • Log In
    New user? Click here to register. Have you forgotten your password?
  1. Home
  2. Browse by Author

Browsing by Author "Boniphase, Alphonce Morango"

Now showing 1 - 1 of 1
Results Per Page
Sort Options
  • Loading...
    Thumbnail Image
    Item
    Ulinganishi wa Kiisimu wa “Lugha” za kibantu za Mara Kaskazini
    (University of Dar es Salaam, 2019) Boniphase, Alphonce Morango
    Utafiti huu unahusu "Ulinganishi wa Kiisimu wa "Lugha" za Mara Kaskazini" ili kubaini karna ni lugha zinazojitegemea au ni lahaja tu za lugha moja kuu ya awali. ''Lugha" za Mara Kaskazini zilizolinganishwa ni Kikurya, Kisimbiti, Kikiroobha, Kisweeta, Kikabwa, Kisuba, Kikine na Kikenye. Utafiti huu una malengo mahsusi mawili: kubainisha mfanano na tofauti ya vi gezo vya kiisimu ambavyo ni msamiati wa msingi , mfu mo wa sauti, mfurno wa ngeli , mfumo wa njeo na mfumo wa ukanushi . Lengo la pili ni kuanisha kiwango cha uhusiano kilichopo kinachoweza kubainisha karna ''lu gha" za Mara Kaskazini ni lugha au lahaja. Utafiti urneongozwa na nadharia kuu mbili ambazo ni Nadharia ya Mwachano na Makutano ya Lugha za Kibantu pamoja na nadhariatete ya Ndugu na Nd ugu wa Mbali i liyoasisi wa na M assamba mwaka 2007. Nadharia ya pili ni Isimu Historia-Linganishi i liyoasisi wa na Jones rnwaka 1786. Utafiti huu unategemewa kuwa na umuhi mu kwa wanaisi rnu na wanajami i wal iokuwa wanatatizika kuhusu "lugha" hizi na wale wote wenye kiu ya kutaka kujua namna ya kulinganisha lugha mbalimbali kiisirnu. Aidha, data zautafiti huu zilipatikana uwandani kwa kuhusisha mbinu mbal imbali za utafiti arn bazo nikusikiliza, usaili , hojaji na majad iliano katika majopo. Eneo la utafiti lilihusisha vijiji 14 kutoka katika Wilaya za Tarime, Rorya, Butiama, Musoma Mjini na Musoma Vijijini. Matokeo ya utafiti huu yamedhihi risha kuwa "lugha" zilizolinganishwa si lugha zinazojitegemea, bali ni lahaja zilizotokana na lugha moja ya awali . "Lugha" hizi zimeonesha mfanano wa zaidi ya asilimia sabini (70%). Mfanano huo umezigawa "lugha" hizi katika makundi mawili: kundi la "lugha" za Kikurya, Kisimbiti, Kisweeta, Kikine na Kikenye na kundi la "lugha" za Ki kabwa, Kisuba l na Kikiroobha.Tunapendekeza tafiti zaidi zifanywe katika vipengele kadhaa vya ki isimu ambavyo havikushughulikiwa katika utafiti huu. V ipengel e hivyo, ni kama vile kipengele cha toni. Kipengele hiki kimeonekana kuwa changamani katika "lugha" za Mara Kaskazini, kimeonesha kutofautisha njeo, hivyo kina athari katika matamshi. Suala lingine ni kukosekana kwa "lugha" ya Kishashi, mojawapo ya "lugha" zilizopangwa kuchunguzwa katika utafiti huu lakini haikuwepo kat ika mazingira hal isi kule uwandani na wala wazungumzaji wake, japokuwa eneo la Ushashi lipo.

About Library

The University of Dar es Salaam Library is a vital source of scholarly information that facilitates users to get access to learning and research resources during their studies. It provides access to a wide range of resources in both print and digital formats and conducive reading environment for users, regardless of their physical conditions. All registered users are eligible to access library resources and can borrow print materials from general shelves for a specific period of time.

Useful Links

Koha Staff Login

University Research Repository

WebMail

Aris

Book Study Room

Mara Oral History

Hansard

SOCIAL MEDIA

Instagram

Facebook

Twitter

YouTube

WhatsApp

Ask Librarian

Contact Us

Postal Address
P.O.Box 35092
Dar es Salaam

Call Us: +255 22 2410500/9 Ext. 2165 ; Direct line +255 22 2410241

Fax No:: +255 22 2410241

Email:: directorlibrary@udsm.ac.tz

2025 University of Dar es Salaam - University Of Dar Es Salaam Library
Term of use / Privacy Policy